Mwanasheria Mkuu atetea uteuzi wa Kindiki kuwa Naibu Rais baada ya Gachagua kutimuliwa
MWANASHERIA Mkuu, Dorcas Oduor, amesihi Mahakama Kuu kutobatilisha kuondolewa mamlakani kwa Bw Rigathi Gachagua kama Naibu Rais, akisema majaji hawana mamlaka ya kupitia upya maamu...