Serikali yapunguza bei ya mafuta kwa mapeni mawili
WAKENYA inaonekana hawatapata nafuu ya juu zaidi kuhusu bei ya mafuta hivi karibuni baada ya serikali kutangaza kuwa imepunguza bei ya petroli kwa sumuni 0.22 pekee. Suala la be...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Mafuta Ya Petroli.
Fresh curated links around mafuta ya petroli are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
WAKENYA inaonekana hawatapata nafuu ya juu zaidi kuhusu bei ya mafuta hivi karibuni baada ya serikali kutangaza kuwa imepunguza bei ya petroli kwa sumuni 0.22 pekee. Suala la be...
Soma zaidi hapa...
Watuamiaji wa bidhaa za mafuta wanaanza kupata ahueni na kiasi cha fedha wanachotumia mafuta kikipungua kufuatia kupungua kwa bei Julai.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya za mafuta kwa Juni 2026 ambapo lita moja kwa kila aina ya mafuta imeongezeka ikilinganishwa na...
Kwa mara ya kwanza meli ya kimataifa ya mafuta kutoka Saudia Arabia imeshusha petroli, dizeli na mafuta ya ndege katika Bandari Jumuishi ya Mangapwani.
OPEC ni muungano wa nchi wazalishaji wa mafuta ulioanzishwa mwaka 1960 kwa lengo la kuratibu sera za uzalishaji na kuhakikisha bei ya mafuta inabaki katika kiwango kinachoweza kuta...
Bei ya mafuta ghafi imetajwa kuongezeka leo Jumanne Julai 14, 2026 baada ya mapigano kuongezeka Mashariki ya Kati, huku masoko ya hisa duniani kupanda kufuatia kushuka mwanzoni mwa...
Tanzania iko mbioni kuanza utekelezaji wa mradi wa kubadili gesi asilia kuwa dizeli, mafuta ya ndege na bidhaa nyingine za nishati, baada ya kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa uje...
Matumaini ya dunia kurejea katika hali ya utulivu na gharama za maisha kupungua yanaendelea kufifia baada ya kurejea kwa mapigano kati ya Marekani na Iran, huku pande hizo zikiende...
Kwa mujibu wa mashuhuda, moto huo ulizuka majira ya saa 5:20 asubuhi leo Ijumaa, Julai 10, 2026, wakati gari la mteja lilipokuwa likijazwa mafuta.
USHURU wa mafuta na faida za kampuni za uuzaji mafuta sasa zinatarajiwa kuangaziwa kwa makini huku serikali ikipambana na muda kupunguza bei ya mafuta ndani ya siku saba zijazo ili...
Tanzania itakuwa katika nafasi nzuri ya kupunguza utegemezi wa malighafi za viwandani zinazoagizwa kutoka nje, iwapo juhudi za kuchakata mafuta taka na kuyageuza kuwa bidhaa zitaka...
Wakati Tanzania inaonekana kuwa miongoni mwa nchi zenye bei ndogo ya mafuta, Chama cha Waagizaji wa Mafuta Tanzania (Taomac) kimewataka Watanzania kuendelea kufunga mkanda kwani be...
Katika maadhimisho hayo, kampuni hiyo ilitajwa kuwa miongoni mwa taasisi zilizofanya vizuri katika kuunga mkono juhudi za kudhibiti bidhaa zisizokidhi viwango.
MGOMO wa kitaifa wa wahudumu wa matatu dhidi ya bei ghali ya mafuta ya petroli ukiendelea mnamo Jumatatu, May 18, 2026, dada wawili katika Kaunti ya Nairobi walijitokeza kuwapa mot...
Dar es Salaam. Wakati gharama za mafuta zikiendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazoathiri sekta za madini na ujenzi, Kampuni ya GF Trucks and Equipment imeanza kuleta malori na...
TAKRIBAN wiki tatu sasa tangu Rais William Ruto akutane na viongozi wa sekta ya uchukuzi katika Ikulu ya Mombasa, wamiliki wa matatu bado wanasubiri kuona ikiwa ahadi alizotoa zita...
Zaidi ya wadau 250 wa sekta ya mafuta na gesi kutoka mataifa 20 ya Afrika wanatarajiwa kukutana Zanzibar kujadili mustakabali wa sekta hiyo, fursa za uwekezaji na namna ya kuimaris...
[Daily News] Zanzibar -- ZANZIBAR has received its first large international oil tanker carrying petrol, diesel and jet fuel directly from Saudi Arabia, marking a major milestone i...
TEHRAN, Iran: MASHAMBULIZI baina ya wanajeshi wa Amerika na Iran yaliyoendelea tokea wikendi yamechangia kupanda tena kwa bei ya mafuta ulimwenguni. Iran ililenga vituo vya kij...
MWANAHARAKATI Francis Awino amewasilisha kesi katika Mahakama Kuu jijini Nairobi kupinga ongezeko jipya la bei ya mafuta lililotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli nchi...
The Zanzibar Utilities Regulatory Authority (Zura) has announced new fuel prices for June 2026, with all petroleum products recording increases compared to the previous month.
MGOMO wa wahudumu wa matatu ambao umesitishwa kwa muda wa siku saba ukiendelea, baadhi ya wachuuzi wa bidhaa za kula katika Kaunti ya Nairobi walitumia jukwaa hilo kuvuna hela. Mm...
KENYA itaanza kuzalisha mafuta kabla ya mwisho wa mwaka huu kutoka kaunti ya Turkana kaskazini mwa nchi. Waziri wa Kawi na Mafuta Opiyo Wandayi hivyo Ijumaa Juni 5, 2026 alifafanu...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.