Latest updates for Maisha Baada Ya Raila Odinga

Fresh curated links around Maisha baada ya Raila Odinga are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Ruto azungumzia siku za mwisho na Raila akisema alimwambia alishatoka hospitali
  • Gachagua aiga mbinu za siasa za Raila za kupambana na serikali
  • Ruto afufua maono ya hayati Raila katika Ruwaza yake ya 2060

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Ruto azungumzia siku za mwisho na Raila akisema alimwambia alishatoka hospitali

RAIS William Ruto ameeleza jinsi alivyopokea taarifa ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, mauti ambayo yalizua wingu la huzuni na kutumbukiza taifa kwenye wimbi la maomb...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua aiga mbinu za siasa za Raila za kupambana na serikali

KWA takriban miongo mitatu, aliyekuwa kiongozi wa ODM Raila Odinga alijijengea jina kama kinara wa siasa za upinzani nchini. Alitumia mbinu mbalimbali kama kususia bidhaa, kuha...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Ruto afufua maono ya hayati Raila katika Ruwaza yake ya 2060

RAIS William Ruto alipozindua mjadala wa kitaifa kuhusu mustakabali wa Kenya baada ya Ruwaza ya 2030 wiki hii, aliutaja kama juhudi mpya za kuwapa mwongozo wa muda mrefu utakaonufa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

ODM katika hatari ya kupoteza Nairobi

CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinakabiliwa na kazi ngumu kudumisha ubabe wake jijini Nairobi katika uchaguzi wa 2027 baada ya kifo cha kigogo Raila Odinga. Tangu 2005...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Raila Jnr alenga kurithi ufuasi wa babake jijini

RAILA Odinga, Jnr Mwanawe marehemu aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga ameahidi kuwa atakita siasa zake katika Kaunti ya Nairobi huku akilenga kurithi ngome za kisiasa za babake....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Uhuru: Ruto au kiongozi yeyote hafai kujilazimisha kwa Wakenya

RAIS Mstaafu Uhuru Kenyatta na Rais William Ruto wameendeleza mvutano wao wa kisiasa huku wakitofautiana kuhusu uchaguzi wa 2027, nafasi ya upinzani na maendeleo ya serikali....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ushindi wa Gachagua Ol Kalou wazua mjadala kuhusu mgawanyiko Mlimani

WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Geoffrey Ruku, amesema matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hayana athari kwa siasa za Mlima Kenya Mashariki, akisisitiza kuwa eneo hilo limeamua kuend...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Serikali kuzindua ujenzi wa kaburi la Raila leo

FAMILIA ya aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga leo itakabidhi serikali sehemu ya kujenga kaburi la heshima la mwanasiasa huyo mashuhuri wa upinzani. Hafla hiyo itafanyika Kang'o ka...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Azma ya Raila Jnr Kibra yachemsha Orero, Imran

KUJITOSA kwa Raila Junior katika kinyang’anyiro cha ubunge wa Kibra, Nairobi, kumeanza kuzua pingamizi miongoni mwa baadhi ya wawaniaji wa ODM, huku mwana huyo mdogo wa aliyekuwa W...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ujenzi wa makavazi ya Raila kuchukua miezi miwili

WAZIRI wa Ulinzi Soipan Tuya amesema kuwa Kangó Ka Jaramogi alikozikwa marehemu Raila Odinga kumefungwa kwa miezi miwili kwa umma ili kuruhusu ujenzi wa maziara. Bi Tuya, Kiongozi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Ida aidhinisha Raila Jnr kugombea ubunge Kibra 2027

MJANE wa aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, Ida Odinga, amemuidhinisha mwanawe Raila Junior kuwania kiti cha ubunge Kibra katika uchaguzi mkuu wa 2027. Mama Ida alitoa kauli hiyo...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Azma ya Raila Jnr Kibra yachemsha Orero, Imran

KUJITOSA kwa Raila Junior katika kinyang’anyiro cha ubunge wa Kibra, Nairobi, kumeanza kuzua pingamizi miongoni mwa baadhi ya wawaniaji wa ODM, huku mwana huyo wa aliyekuwa Waziri...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Manifesto za Raila Odinga kuanza kufunzwa chuoni

BAADHI ya manifesto ambazo aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Amolo Odinga alitumia katika kampeni zake za urais zitakuwa sehemu ya masomo katika Chuo cha Uongozi na Utawala cha Raila Amo...

Read source
nairobiwire.com /4 weeks ago

Gachagua Demands Answers Over Raila Odinga’s Final Hours

Former Deputy President Rigathi Gachagua has questioned the circumstances surrounding the death of former Prime Minister Raila Odinga. Speaking during a media briefing to review th...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

MAONI: Nyanza haipiganii kiti chochote hivyo haifai kushuhudia ghasia na uhuni

KAMA kuna eneo ambalo halifai kushuhudia uhuni wa kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2027 basi ni eneo la Luo Nyanza hasa baada ya kifo cha Raila Odinga. Hii ni kwa sababu hakuna kile a...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Oparanya sasa ndiye kigogo wa ODM aliyependekezwa kuwa mgombea mweza wa Ruto 2027

WAZIRIwa Vyama vya Ushirika, Wycliffe Oparanya ameibuka chaguo bora ODM kwa wadhifa wa mgombea mwenza wa urais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, baada ya miezi kadhaa ya mashauriano...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 days ago

Uhuru aibuka mwiba kwa Gachagua Mlimani

VITA vya kisiasa vya kudhibiti Mlima Kenya vinaingia awamu mpya huku aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua akijaribu kuimarisha ushawishi wake katika eneo hilo kuelekea uchaguzi wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Malumbano ya ubabe Mlimani kati ya Gachagua, Munya raha kwa Ruto

MALUMBANO yanayoendelea kati ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na baadhi ya viongozi wa eneo la Mlima Kenya huenda yakawa habari njema kwa Rais William Ruto anapojiandaa kut...

Read source
allafrica.com /1 month ago

Kenya: State-Backed Raila Odinga Mausoleum Enters Construction Phase After Site Handover

[Capital FM] Nairobi -- Construction of the proposed Raila Odinga Mausoleum has officially begun after the Odinga family handed over the historic Kang'o ka Jaramogi site in Siaya C...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ol Kalou: Gachagua sasa apaa huku Uhuru, Kindiki wakiyumba Mlimani

USHINDI mkubwa wa mgombea wa Democracy for Citizens Party (DCP), Sammy Kamau Ngotho, katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou umeibua mjadala mpya kuhusu mwelekeo wa siasa za Ml...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Leo ni leo Ol Kalou uchaguzi ukitarajiwa kutambulisha ‘mwenye Mlima’ kati ya Ruto na Rigathi

MATOKEO ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou leo yatatoa mwelekeo wa kisiasa katika eneo lenye idadi kubwa ya wapigakura la Mlima Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Ni kat...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ruto halali akitupangia lakini hatupati ng’o, wasema viongozi wa Upinzani

VIONGOZI wa upinzani wameanza mikakati ya kuunda muungano mkubwa wa kisiasa unaofanana na ule wa National Rainbow Coalition (NARC) uliomwingiza madarakani Rais mstaafu Mwai Kibaki...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

MAONI: Ushindi wa DCP Ol Kalou si picha halisi ya kura za 2027

MATOKEO ya uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou yanapaswa kudadisiwa kwa jicho la pili. Ushindi wa mgombea wa chama cha Democracy for Citizen Party (DCP) dhidi ya mgombea wa UD...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Jiandae kwa mwaka mgumu, Kalonzo amuonya Ruto

KIONGOZI wa Wiper Patriotic Party, Kalonzo Musyoka, amemuonya Rais William Ruto kwamba mwaka wake wa mwisho mamlakani utakuwa mgumu, huku upinzani ukiahidi kuongeza ukosoaji wa ser...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Maisha Baada Ya Raila Odinga

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

nairobiwire.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source