Daladala Mbeya zagoma, wananchi walia nauli kupanda
Kupanda kwa bei ya mafuta hususani petroli, makali yameanza kung'ata jijini Mbeya baada ya usafiri wa daladala kuweka 'mgomo' kutoa huduma huku wananchi wakilia na nauli za bajaji...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Maandamano Ya #Rejectfuelprices.
Fresh curated links around Maandamano ya #RejectFuelPrices are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Kupanda kwa bei ya mafuta hususani petroli, makali yameanza kung'ata jijini Mbeya baada ya usafiri wa daladala kuweka 'mgomo' kutoa huduma huku wananchi wakilia na nauli za bajaji...
Mafuta ya rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam, watalazimika kuongeza Sh956 kwa kila lita moja ya petroli baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka sh2,864.
SERIKALI inastahili kusikiza kilio cha raia kuhusu masuala mbalimbali badala ya kusubiri waandae maandamano. Jumanne, japo madogo, kulikuwa na maandamano ya kulalamikia bei ya juu...
Katika toleo la Aprili, Petroli ilipanda kwa zaidi ya Sh900 kwa lita.
CHAMA cha wenye magari nchini Kenya (MAK) kimetoa ilani ya mgomo wa kitaifa, kikionya kuwa shughuli zitakwama nchi nzima kuanzia Jumatatu kulalamikia ongezeko la hivi majuzi la bei...
Wabunge wametoa ya moyoni kuhusu suala la mafuta wakitaja mambo saba ambayo yanaweza kupunguza makali hayo ili kutoa nafuu ya maisha kwa wananchi.
Soma zaidi...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza bei za mafuta kwa mwezi Mei 2026 zitakazoanza kutumika kuanzia leo Alhamisi Mei 7, 2026.
WAKENYA waliamkia wimbi jipya la masaibu kiuchumi hapo jana huku wakianza kuhisi athari za bei za mafuta kuongezwa, hali iliyosababisha nauli, bei ya vyakula, na gharama ya huduma...
Youth-led protests have erupted across Kenya as anger over soaring fuel prices spills onto the streets, deepening an already tense cost-of-living crisis. The News Chronicle gathere...
MWANAHARAKATI Francis Awino amewasilisha kesi katika Mahakama Kuu jijini Nairobi kupinga ongezeko jipya la bei ya mafuta lililotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Kawi na Petroli nchi...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza bei mpya za mafuta, ambapo lita moja ya petroli na dizeli imeongezeka kwa wastani wa Sh500. Wakati bei...
Waendesha matatu wamesema wamechukua hatua hiyo baada ya serikali kutangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, wakidai kuwa gharama za uendeshaji zimepanda na kupunguza faida yao kwa...
NAIBU Rais Kithure Kindiki amesema amefanya mkutano mtandaoni na Rais William Ruto ambapo wamejadili suala la mgomo wa wahudumu wa uchukuzi ambao umesababisha shughuli za usafiri k...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kushangazwa na kile kilichokiita kutochukuliwa kwa hatua za haraka na mamlaka husika katika kudhibiti kupanda kwa bei ya mafut...
USHURU wa mafuta na faida za kampuni za uuzaji mafuta sasa zinatarajiwa kuangaziwa kwa makini huku serikali ikipambana na muda kupunguza bei ya mafuta ndani ya siku saba zijazo ili...
Youths on social media announced a mass protest on Tuesday to demonstrate against the hike in fuel prices by the Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA).
WAANDAMANAJI kumi na wawili, wakiwemo watoto wawili, Jumatano, Aprili 22, 2026 walifikishwa mahakamani wakishtakiwa kwa kushiriki maandamano ya kutaka serikali kupunguza bei ya maf...
According to a public notice issued on Wednesday by Ewura, the latest adjustments reflect sustained pressure in global oil markets
KUNA Kuna uwezekano wa bei ya dizeli kupanda zaidi hadi Sh300 kwa lita katika miezi michache ijayo kufuatia tahadhari kuhusu kupanda kwa gharama ya usafirishaji wa mafuta pamoja na...
LITA moja ya petroli inauzwa Sh450 katika miji ya Ilbisil na Mali Tisa, Kaunti ya Kajiado, kufuatia madai kwamba baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta wanahodhi bidhaa hiyo, hali...
The ruling United Democratic Alliance (UDA) has countered the opposition’s recent allegations concerning the fuel price hike, dismissing the criticism as a collection of falsehoods...
MAONI ya umma katika mitandao ya kijamii kuhusu Mswada wa Fedha 2026 umekuwa hasi kwa kiwango kikubwa, huku mijadala mingi ikitawaliwa na alama ya #RejectFinanceBill2026, kwa mujib...
Chama cha Wamiliki wa Malori nchini, (TAK), kimeagiza wanachama wake kuongeza gharama za usafirishaji kwa asilimia 30, kikitaja kupanda kwa bei ya mafuta kufuatia ongezeko la...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.