Hofu yaibuka kwamba wauzaji wanahodhi mafuta baadhi wakiuza hadi Sh450 kwa lita
LITA moja ya petroli inauzwa Sh450 katika miji ya Ilbisil na Mali Tisa, Kaunti ya Kajiado, kufuatia madai kwamba baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta wanahodhi bidhaa hiyo, hali...