Latest updates for Jamvi La Siasa
Fresh curated links around Jamvi La Siasa are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Wachambuzi waona mwanga siasa za ushindani
- Salum Mwalimu na magumu ya maisha ya siasa
- Boma za kifahari zinazotumiwa kusuka dili kali za siasa
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Salum Mwalimu na magumu ya maisha ya siasa
Soma zaidi hapa...
Boma za kifahari zinazotumiwa kusuka dili kali za siasa
Nyuma ya kuta ndefu, milango yenye ulinzi mkali na orodha maalum za wageni, baadhi ya maamuzi makubwa zaidi ya kisiasa nchini Kenya huzaliwa mbali na macho ya umma. Katika makazi...
Ajenda muhimu za kitaifa zinavyofichwa nyuma ya kivuli cha uchaguzi
Soma hapa...
Nyufa zaongezeka ndoa ya UDA na ODM viongozi Pwani wakigawanyika
LICHA ya chama tawala UDA na kile cha ODM kuungana katika Serikali Jumuishi, migawanyiko ya viongozi kutoka eneo la Pwani inaendelea kujitokeza huku wafuasi wa vyama hivyo wakionye...
Siasa chafu Nyanza sasa zakera wakazi
MIJADALA ya kisiasa katika eneo la Nyanza inazidi kushuka hadhi huku baadhi ya viongozi wakitumia lugha chafu, matusi ya kingono na matamshi ya kudhalilisha kuwashambulia wapinzani...
Wanaositasita kuhamia upinzani wakisubiri dakika za mwisho wapewa onyo kali
UCHAGUZI mkuu wa 2027 ukikaribia viongozi wa kisiasa wanaosita kuhamia upinzani wakisubiri dakika za mwisho wameanza kupewa onyo kali. Katika maeneo mbalimbali vinara wa upinzani...
Uhuru, Gachagua kupimana nguvu katika uchaguzi mdogo Ol Kalou
UCHAGUZI mdogo wa eneobunge la Ol Kalou ambao umeratibiwa kufanyika Julai 16 umefichua mvutano unaozidi kuongezeka kati ya chama cha Jubilee, kinachohusishwa na Rais mstaafu Uhuru...
Jinsi kutokuwepo kwa Odinga na Kenyatta kwenye debe kunavyofungua kura ya 2027
HUKU kivumbi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027 kikishika kasi, maeneo mawili muhimu kisiasa nchini Kenya; Luo Nyanza na Mlima Kenya, yameingia katika mabadiliko makubwa ya kisiasa...
Jinsi suala la ‘kuachiana ngome’ linavyogonganisha vichwa ndani na nje ya serikali
SWALI la ni nani atakuwa na wagombea wepi linaondokea kuwa kikwazo kikuu katika kuunda miungano ya kisiasa Kenya kuelekea katika uchaguzi mkuu wa 2027, huku mzozo huo ukitokota nda...
KINAYA: Ulichagua ‘kitu’ kikakuramba, sasa utachagua mtu?
HIVI ulichagua nini kukuwakilisha bungeni? Nimeuliza ‘nini’, wala si ‘nani’, kwa kuwa Wakenya wengi walichagua vitu, si watu. Naam, yaani vitu vilivyopo tu, visivyo na dalili ya k...
Ukaribu wa Ababu na chama cha ODM waibua joto la kisiasa
UHUSIANO wa karibu unaochipuka chini kwa chini baina ya aliyekuwa Mbunge wa Budalang’i Ababu Namwamba na ODM, umeibua maswali iwapo waziri huyo wa zamani huenda analenga kuwania ki...
Serikali yapiga marufuku maudhui ya kisiasa katika tamasha za shule
SHERIA zinazoongoza Tamasha za Kitaifa za shule zimebadilishwa ambapo sasa ni marufuku kuwa na mawasilisho yenye mada za kisiasa. Imebainika sheria hiyo iliwekwa kuelekea Tamasha...
Jaji Warioba ataja ‘dawa’ ya kuliponya Taifa
Soma zaidi hapa...
Kelele za wanasiasa mazishini zatatiza wafu
Wakati J. M. Kariuki alipouawa Machi 1975, mbunge wa Kajiado Kaskazini wakati huo, John Keen alitamka maneno yaliyoakisi hisia za taifa; “Fisi wamekula mmoja wao.” Kauli hiyo iliku...
Jinsi Ruto alivyoingiza ODM kwenye mtego
Ilianza kwa mikutano ya chinichini na ishara za kisiasa za heshima, kisha ukafuata uteuzi wa wanachama wa upinzani katika Baraza la Mawaziri, na baadaye majukwaa ya pamoja ya kisia...
Uhasama watokota tena kati ya DCP na Jubilee kuhusu Ol Kalou
UHASAMA wa kisiasa unazidi kutokota kati ya Jubilee na DCP baada ya vyama hivyo viwili kusema vitakuwa na mgombeaji kwenye uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Baada ya DCP kuandaa mchujo...
Wanazuoni waonya ‘mambo ya ovyo’ yanavyofifisha mijadala ya kitaifa
Soma zaidi hapa...
‘Hii ndio tume ya maridhiano tunayoitaka’
Soma zaidi hapa...
Saa 48 za mshikemshike Chadema Arusha, Mbeya
Soma zaidi hapa...
Waliokatwa kura za maoni ubunge waibukia Eala
Hakuna kukata tamaa, ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya wanasiasa waliowania ubunge kupitia CCM, lakini majina yao kukatwa, sasa wameibukia ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala...
Hivi UDA inadhulumu washirika wake ndani ya Serikali Jumuishi?
HATUA ya UDA kutaka kupanua mawanda yake nje ya ngome zake za kisiasa imeanza kuvuruga uhusiano wake na washirika ambao wanaona hatua hiyo kama unyanyasaji na jaribio la kuwapiga k...
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.