Latest updates for Hasara Ya Mgomo Wa Magari Ya Uchukuzi

Fresh curated links around Hasara ya mgomo wa magari ya uchukuzi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Wafanyabiashara wasalia kuhesabu hasara ya mgomo
  • Hatari ya kupanda malori ya mizigo
  • Mgomo wa matatu: Thika Road yasalia mahame

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Wafanyabiashara wasalia kuhesabu hasara ya mgomo

WAFANYABIASHARA kote nchini jana walikuwa wakikadiria hasara kubwa kufuatia maandamano ya Jumatatu yaliyogeuka kuwa vurugu katika miji kadhaa, ambapo makundi ya wahuni yalitumia fu...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Hatari ya kupanda malori ya mizigo

Soma hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Mgomo wa matatu: Thika Road yasalia mahame

BARABARA kuu Kenya – inayounganisha jiji la Nairobi na mji wa Thika, Jumatatu asubuhi Mei 18, 2026 ilisalia kufungwa kufuatia mgomo wa matatu dhidi ya bei ya mafuta ya petroli ulio...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Hasara ambayo wauzaji maua nje ya nchi walikadiria wakati wa mgomo wa matatu

BARAZA la Maua Kenya (KFC) linakadiria kuwa kati ya tani 100 hadi 200 za maua zilizokuwa zimepangwa kusafirishwa nje ya nchi mnamo Jumatatu, Mei 18, 2026, zilicheleweshwa au kuathi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Muda wa kusitishwa kwa mgomo wazidi kuyoyoma serikali bado ikisubiriwa kutoa suluhu

MUDA wa kusitishwa kwa mgomo wa sekta ya matatu kwa wiki moja unazidi kuyoyoma huku shinikizo zikiongezeka kwa serikali kutafuta suluhu ya kudumu kabla ya Jumanne ijayo ili kuzuia...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

HABARI ZA HIVI PUNDE: Mgomo wa sekta ya uchukuzi waahirishwa kwa siku saba

MGOMO wa sekta ya uchukuzi uliokuwa umeingia siku ya pili umeahirishwa kwa muda wa siku saba ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kati ya serikali na viongozi wa sekta hiyo. Tangazo...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Daladala Mbeya zagoma, wananchi walia nauli kupanda

Kupanda kwa bei ya mafuta hususani petroli, makali yameanza kung'ata jijini Mbeya baada ya usafiri wa daladala kuweka 'mgomo' kutoa huduma huku wananchi wakilia na nauli za bajaji...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mgomo wa daladala Tanga waingia siku ya pili, usafiri bado wateteraka

Hali ya usafiri wa daladala katika Jiji la Tanga bado haijaimarika kutokana na mgomo unaoendelea.

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Mgomo wa daladala Kenya wazua taharuki

Waendesha matatu wamesema wamechukua hatua hiyo baada ya serikali kutangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, wakidai kuwa gharama za uendeshaji zimepanda na kupunguza faida yao kwa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Daladala zakatisha safari Arusha, abiria walalamika nauli kuongezeka

Wananchi wa Jiji la Arusha wameilalamikia tabia ya baadhi ya madereva wa daladala kukatisha safari, wakisema inaongeza gharama za usafiri na kuwaumiza kiuchumi, hasa katika kipindi...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Bei ya mafuta yazidi kung’ata, usafiri wa umma wapungua

Soma zaidi...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Serikali yapunguza upimaji wa mabasi kwenye mizani

Mabadiliko makubwa katika mfumo wa usafiri wa abiria nchini yameanza kuonekana baada ya Serikali kupunguza upimaji wa mabasi katika vituo vya mizani, hatua inayolenga kuondoa chang...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Mabasi 150 ya Mofat yatimiza nusu mwaka bila kuingia barabarani, Kafulila aingilia kati

Zaidi ya mabasi 150 ya mwendo wa haraka (mwendokasi) yaliyoletwa kwa ajili ya kutoa huduma katika barabara ya Mbagala, yamekaa kwa zaidi ya nusu mwaka bila kuanza kazi.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Mgomo wa matatu dhidi ya mafuta ulivyonogesha biashara yake ya miwa

MGOMO wa wahudumu wa matatu ambao umesitishwa kwa muda wa siku saba ukiendelea, baadhi ya wachuuzi wa bidhaa za kula katika Kaunti ya Nairobi walitumia jukwaa hilo kuvuna hela. Mm...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Kamati ya Bunge yawa mbogo mabasi ya mwendokasi kutotumika

Dar es Salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imegeuka mbogo baada ya kupata taarifa kuwa kuna mabasi ya mwendo wa haraka ‘mwendokasi...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Daladala Dar, Mwanza zaomba kusitisha huduma kuanzia kesho

Saa chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) kutangaza kuongeza muda wa wiki mbili zaidi wa kupokea maoni kuhusu mapitio ya nauli, Umoja wa Wasafirishaji A...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Madiwani Lindi walalamikia ubovu wa barabara

Ameendelea kusema kuwa wakiacha hali hiyo iendelee, wakulima wa ufuta watalazimika kupeleka mazao yao Halmashauri ya Mtama kwa kuwa halmashauri hiyo imeboresha barabara zao.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Chama chaitisha maandamano kupinga kupanda kwa bei ya mafuta nchini

CHAMA cha wenye magari nchini Kenya (MAK) kimetoa ilani ya mgomo wa kitaifa, kikionya kuwa shughuli zitakwama nchi nzima kuanzia Jumatatu kulalamikia ongezeko la hivi majuzi la bei...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

With all due respect! Jinsi viongozi wa matatu walivyoingia ‘boksi’

SIKU chache kabla ya mgomo wa sekta ya uchukuzi kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta kuanza wiki ijayo, mikutano mingi ya kuupanga ilifanyika chini ya maji. Kadri saa zilivyos...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Serikali kutumia Sh5 bilioni kuimarisha maegesho ya malori Mwandege

Barabara nyingi ndani ya jiji hilo zikiwemo ile ya Mandela, zimekuwa kero kwa watumiaji hasa nyakati za asubuhi na jioni huku sababu kutokana na foleni kubwa inayotajwa kusababishw...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Wamiliki wa matatu waondoa mgomo wiki ijayo baada ya kuingizwa boksi na Ruto

Wadau wa sekta ya uchukuzi wamefuta mgomo wao walioahirisha Jumanne uliopangwa kufanyika wiki ijayo kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta, kufuatia mazungumzo na Rais William Ruto...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Diwani aingilia kati kupanda nauli Simanjiro

Simanjiro. Diwani wa Kata ya Loiborsiret wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Ezekiel Lesenga (Mardadi) ameingilia kati uongezaji holela wa nauli kwa baadhi ya magari ya kubeba abiri...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 weeks ago

Mwisho wa ‘nganya’ wanukia korti ikipiga marufuku mapambo ya matatu

MIKE Oby, amekuwa akipamba magari ya huduma ya umma, yanayojulikana kama matatu au nganya, kwa miaka 10 sasa. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 39 hufanya kazi na timu, na anasem...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Ripoti ya CAG yafichua 'bomu' usafiri wa umma

Soma zaidi hapa...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Hasara Ya Mgomo Wa Magari Ya Uchukuzi

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source