Wafanyabiashara wasalia kuhesabu hasara ya mgomo
WAFANYABIASHARA kote nchini jana walikuwa wakikadiria hasara kubwa kufuatia maandamano ya Jumatatu yaliyogeuka kuwa vurugu katika miji kadhaa, ambapo makundi ya wahuni yalitumia fu...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Hasara Ya Mgomo Wa Magari Ya Uchukuzi.
Fresh curated links around Hasara ya mgomo wa magari ya uchukuzi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
WAFANYABIASHARA kote nchini jana walikuwa wakikadiria hasara kubwa kufuatia maandamano ya Jumatatu yaliyogeuka kuwa vurugu katika miji kadhaa, ambapo makundi ya wahuni yalitumia fu...
BARABARA kuu Kenya – inayounganisha jiji la Nairobi na mji wa Thika, Jumatatu asubuhi Mei 18, 2026 ilisalia kufungwa kufuatia mgomo wa matatu dhidi ya bei ya mafuta ya petroli ulio...
BARAZA la Maua Kenya (KFC) linakadiria kuwa kati ya tani 100 hadi 200 za maua zilizokuwa zimepangwa kusafirishwa nje ya nchi mnamo Jumatatu, Mei 18, 2026, zilicheleweshwa au kuathi...
MUDA wa kusitishwa kwa mgomo wa sekta ya matatu kwa wiki moja unazidi kuyoyoma huku shinikizo zikiongezeka kwa serikali kutafuta suluhu ya kudumu kabla ya Jumanne ijayo ili kuzuia...
MGOMO wa sekta ya uchukuzi uliokuwa umeingia siku ya pili umeahirishwa kwa muda wa siku saba ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kati ya serikali na viongozi wa sekta hiyo. Tangazo...
Pia gari za ruti nyingine zinazotumia barabara hiyo, hazitatakiwa kushusha wala kupakia abiria vituo vya katikati hadi zifike mwisho wa safari.
Jiji la Nairobi limetengwana maeneo mengine ya nchi baada ya polisi kuweka vizuizi katika barabara kuu zote zinazoelekea jijini, hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa magari na...
Waendesha matatu wamesema wamechukua hatua hiyo baada ya serikali kutangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, wakidai kuwa gharama za uendeshaji zimepanda na kupunguza faida yao kwa...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
Soma hapa...
Taarifa za awali zinaeleza kuwa dereva huyo alihisiwa kubeba dawa za kulevya aina ya mirungi, ingawa madai hayo bado hayajathibitishwa rasmi na vyombo vya usalama.
Soma zaidi...
MPANGO wa serikali kulazimisha magari ya kibinafsi kufanyiwa ukaguzi kila mwaka umezua hisia kali miongoni mwa umma, huku waendeshaji magari na viongozi wa upinzani wakitaka ukomes...
Soma zaidi hapa...
MGOMO wa wahudumu wa matatu ambao umesitishwa kwa muda wa siku saba ukiendelea, baadhi ya wachuuzi wa bidhaa za kula katika Kaunti ya Nairobi walitumia jukwaa hilo kuvuna hela. Mm...
Akizungumza katika eneo la tukio, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hadi kufikia saa sita usiku hakukuwa na taarifa ya madhara ya vifo wala majeruhi.
Soma hapa...
SIKU chache kabla ya mgomo wa sekta ya uchukuzi kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta kuanza wiki ijayo, mikutano mingi ya kuupanga ilifanyika chini ya maji. Kadri saa zilivyos...
Soma hapa...
Kenyans of all walks of life have planned a peaceful march across the capital to commemorate the more than 120 youths killed in the last two demonstrations.
Hali hii ni tofauti na ilivyokawaida kwani hata katika maeneo muhimu kama Tandika sokoni, biashara zimeonekana kuanza kwa kusuasua tofauti na kawaida ambapo barabara za Tandika huf...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.