Latest updates for Biya Ahudumu Muhula Wa Nane Mamlakani

Fresh curated links around Biya ahudumu muhula wa nane mamlakani are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Mnangagwa asaini sheria ya kuongeza muda wa urais hadi 2030 Zimbabwe
  • Hichilema ashinda tena urais Zambia
  • Rais Samia aenda Angola kwa ziara ya siku mbili

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /1 month ago

Mnangagwa asaini sheria ya kuongeza muda wa urais hadi 2030 Zimbabwe

Hatimaye Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wa urais kwa miaka miwili, hatua inayomruhusu kuendelea kuhudumu madarakani hadi mwaka 20...

Read source
mwananchi.co.tz /6 days ago

Hichilema ashinda tena urais Zambia

Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, ameshinda uchaguzi wa urais na kupata muhula wa pili wa miaka mitano, katika ushindi unaompa nafasi ya kuendeleza mpango wake wa kurekebisha uch...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Rais Samia aenda Angola kwa ziara ya siku mbili

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 31, 2026 anaondoka nchini kuelekea Angola kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Angola, João Lourenço.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Tanzania katika mtihani mwingine jumuiya ya kimataifa

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya afya ya Sh8 trilioni

Makubaliano hayo yatatekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030 kupitia uwekezaji wa pamoja wa Serikali ya Tanzania na Marekani, yakihusisha maeneo ya usalama wa afya, bima ya afya kwa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Dk Mwinyi ateua majaji wanne, yumo Raya

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Dk Nchimbi asema urithi wa hayati Mkapa unaendelea kuibeba afya ya Taifa

Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema baada ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tatu, hayati Benjamin Mkapa, urithi wake bado unaendelea kuonekana kupitia taasisi alizozianzisha, hu...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Samia ataka viongozi wapya watangulize matokeo, uadilifu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua katika nafasi mbalimbali za Serikali na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uadilifu, uwaj...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

TEC yavunja ukimya ilichoteta na Rais

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Mashahidi wanane kutoa ushahidi kesi aliyekuwa mwenyekiti Goba

Mashahidi wanane na vielelezo vitatu vinatarajiwa kutolewa na upande wa mashtaka katika kesi ya kujipatia Sh62 milioni kwa njia ya udanganyifu, inayomkabili, aliyekuwa Mwenyekiti w...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Nchi nane kushiriki Maonyesho ya Biashara ya Afrika Mashariki

Nchi nane zikiwamo tano kutoka Afrika na tatu nje ya bara hilo, zinatarajia kushiriki Maonyesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika mkoani Mwanza.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Biya afanya mabadiliko ya kijeshi bila kuonekana

DOUALA, Cameroon: RAIS wa Cameroon Paul Biya Jumanne alifanya mabadiliko makubwa katika uongozi wa jeshi huku kukiwa na mjadala mkali kuhusu kutokuwepo kwake hadharani kwa muda wa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Kauli ya Serikali kuhusu Julai 7

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Rais Mwinyi awaapisha majaji wakiahidi kutenda haki, kuharakisha kesi

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Happyness: Kutoka mlinzi hadi kumwendesha Rais Samia

Soma hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /5 days ago

Kampeni zaanza Nigeria Tinubu akikabiliwa na ushindani mkali anaposaka ‘Tu Tam’

ABUJA, Nigeria: KAMPENI za uchaguzi wa Januari 2027 Nigeria zilianza Jumatano huku Rais Bola Tinubu akikabiliwa na swali gumu anapowania muhula wa pili hasa kuhusu utendakazi wake...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Hofu Cameroon Rais Biya akikosa kuonekana hadharani kwa siku 45

YOUNDE, Cameroon: CHAMA tawala nchini Cameroon, CPDM (Cameroon People’s Democratic Movement), Jumatano kiliitisha mkutano usio wa kawaida wa viongozi wake wakuu huku shinikizo iki...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Rais Museveni awasili Dar kwa ziara ya siku mbili

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia leo Jumatano Agosti 5 hadi 6, kufuatia mwaliko wa mwenyeji wake, Rais Samia Sul...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

SUK bado kugumu, imebaki CCM na Serikali

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Hichilema, Mundubile jino kwa jino uchaguzi mkuu Zambia

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Zamzam, Masito kibarua kura za 2027 watangulizi wao wote wakiwa wantam

MBUNGE Mwakilishi wa Kike katika Kaunti ya Mombasa, Bi Zamzam Mohamed na mwenzake wa Kwale Bi Fatuma Masito, wanakabiliwa na ushindani mkubwa kuelekea 2027 wakijaribu kuvunja mtind...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 day ago

Uhuru: Ruto au kiongozi yeyote hafai kujilazimisha kwa Wakenya

RAIS Mstaafu Uhuru Kenyatta na Rais William Ruto wameendeleza mvutano wao wa kisiasa huku wakitofautiana kuhusu uchaguzi wa 2027, nafasi ya upinzani na maendeleo ya serikali....

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Sura mbili mbio za uchaguzi Kenya, Ruto akimrushia kijembe Kenyatta

Malumbano ya kisiasa nchini Kenya yameendelea kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, baada ya Rais William Ruto kuwatuhumu baadhi ya wapinzani wake kuwa wanatumwa na “sponsor...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Milima, mabonde miaka 20 ya mageuzi Chadema

Soma zaidi hapa...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Biya Ahudumu Muhula Wa Nane Mamlakani

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source