Upinzani nao wazindua ‘Bajeti’ ya Mwananchi: ‘Tutafyeka nusu matumizi ya Ikulu’
MUUNGANO wa upinzani jana ulizindua kile ulichokiita Bajeti ya Wananchi na kuwataka wabunge kukataa Bajeti ya Serikali ya Sh4.82 trilioni pamoja na Mswada wa Fedha wa 2026, ukisema...