Maelekezo 11 ya Dk Mwigulu akiwasilisha bajeti ya Sh12.5 trilioni
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Afisi Ya Bajeti Ya Bunge.
Fresh curated links around Afisi ya Bajeti ya Bunge are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya...
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Soma zaidi...
HUKU wabunge wakirejelea vikao vya bunge kesho baada ya mapumziko ya mwezi mmoja, viongozi hao wa kisiasa wameonya kuwa bajeti kubwa ya Sh4.8 trilioni itakuwa mzigo mkubwa kwa raia...
Fedha zinazozungumziwa na wabunge hao ni zile Sh200 bilioni zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya uwezeshaji wa vijana na kugawanywa katika wizara za madini, kilimo, mifugo, vijana...
Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma katika mwaka wa fedha 2026/27, kama sehemu ya mkakati mpana wa k...
Jumla ya Sh775 bilioni zimeombwa na Wizara ya Katiba katika mwaka wa fedha 2026/27, huku vipaumbele 14 vitakavyotekelezwa kwa wakati huo, ikiwemo kufungua kesi tano za uvunjwaji wa...
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiwa imetoa Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2026/27, wadau wa sekta binafsi wameonesha ubora na upungufu wa rasimu hiyo.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.
Wabunge wametaka njia rahisi ya upataji mikopo kwa vijana ikiwemo unafuu wa masharti, dhamana, usimamizi, kutokuundwa kwa vikundi pamoja na utolewaji wa elimu.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameitaka Serikali kuongeza nguvu katika kilimo cha kisasa na ujenzi wa viwanda, ili kukuza uchumi wa nchi pamoja na kuongeza ajira kwa wa...
Wakati Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (OMKR) ikianisha vipaumbele vitano vya kutekeleza mwaka 2026/27 na kuomba kuidhinishiwa Sh35.558 bilioni, ufinyu na upatikanaji wa fedha us...
Bunge la Kitaifa Kenya limefafanua kuwa madai yaliyoenea mitandaoni kwamba Mswada wa Fedha wa mwaka 2026 unapendekeza kutozwa kwa ada ya kila mwaka kwa ardhi ni ya uongo na yanapot...
Wakati mkutano wa tatu wa baraza la 11 la wawakilishi ukianza kesho, Mei 6, 2026, wananchi na wadau mbalimbali wameeleza matarajio yao, wakisisitiza umuhimu wa wawakilishi kujikita...
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid, amethibitisha kupokea vitabu 12 vya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2024/25.
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Sh135.676 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27, huku ikiainisha mikakati ya kudhibiti mfumko wa bei na kui...
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
BUNGE linaendelea kujadili masuala yanayohusu Mswada wa Ushirikishaji wa Umma wa mwaka 2025, huku wabunge wakikabiliana na angalau hoja sita zenye utata kabla ya kuupitisha kuwa sh...
WABUNGE nchini sasa wanaonekana kuchukua tahadhari kubwa wanapoandaa Bajeti ya Mwaka wa Kifedha 2026, huku Mswada wa Fedha wa 2026 ukizua mjadala mpana kuhusu kile kilichoondolewa...
Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27 kutekeleza miradi 10 ya maendeleo, wajumbe wa Baraza la W...
Soma hapa...
Kauli ya gharama za kumuona daktari kwa wagonjwa, imewaibua madaktari na kueleza kinachoendelea huku wakionya siasa zisiingizwe kwenye afya za watu.
Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameahirisha kwa muda shughuli za Bunge baada ya kubaini kuwa vipaza sauti ndani ya Ukumbi havifanyi kazi.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.