Sheria, tume ya ulinzi wa taarifa binafsi mbioni Zanzibar
Soma hapa...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for #Sheriayaardhi.
Fresh curated links around #SheriaYaArdhi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma hapa...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetaja vipaumbele vinane katika utekelezaji wa bajeti ya Sh210.3 bilioni huku utatuzi wa migogoro ukitajwa kila eneo.
RAMANI ya eneo iliyochorwa katika miaka ya 1980 ilitelekezwa kwa zaidi ya miongo mitatu kabla ya kujitokeza kuwa moja kati ya sakata kubwa zaidi kuhusu ardhi nchini. Kilichoanza...
MSAJILI Mkuu wa Ardhi yuko hatarini kukamatwa baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kumpata na hatia ya kuidharau kwa kukosa kutekeleza amri iliyotolewa katika mzozo wa ardhi una...
Mahakama Kuu ilikuwa imetupilia mbali shauri lake kwa gharama, baada ya kubaini kuwa alilipwa kikamilifu fidia ya ardhi yenye ukubwa wa mita za mraba 1,632.
Soma hapa...
Migogoro ya ardhi inayojitokeza mara kwa mara Zanzibar inachangiwa na ukosefu wa mpango mkuu wa ardhi, wamesema wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Wafanyabiashara Seleman Said na Betha Laurence wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 16, yakiwemo ya kughushi nyaraka, kuwasilisha nyaraka za...
Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) umedai kuwa, Sh227 milioni za fidia katika Msikiti wa Rahman uliopo Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam zililipwa kwa watu wasio sah...
Soma hapa...
Mshtakiwa huyo alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali, Salome Martin mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Romuli Mb...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
JAJI Mkuu Mstaafu David Maraga Jumatatu alikuwa kati ya watu walionyakwa wakati wa maandamano ya amani ya kupinga mpango wa serikali kuanzisha kituo cha kuwatunza wanyama katika mb...
Agizo hilo limekuja kutokana na hoja ya CAG iliyobaini kuwa halmashauri hiyo ilifanya mabadiliko ya michoro katika baadhi ya miradi ya maendeleo bila kupata kibali kutoka kwa Katib...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema ujenzi wa barabara na hoteli unaoendelea kisiwani humo vinachangia ongezeko la mahitaji makubwa ya ardhi hatua inayoweza kuchochea migog...
Soma hapa...
Bunge la Kitaifa Kenya limefafanua kuwa madai yaliyoenea mitandaoni kwamba Mswada wa Fedha wa mwaka 2026 unapendekeza kutozwa kwa ada ya kila mwaka kwa ardhi ni ya uongo na yanapot...
Soma zaidi...
Utekelezwaji wa hilo, unategemea ridhaa ya wabunge juu ya pendekezo la mabadiliko ya sheria hiyo lililotolewa na Serikali kupitia bajeti yake ya mwaka wa fedha 2026/27.
Soma zaidi hapa...
Soma zaidi hapa...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.