Mashine za kukaushia kucha zaongezewa kodi
Mbali na hizo, bidhaa nyingine zinazopendekezwa kuongezewa ushuru ni viatu vya plastiki.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Msamaha Wa Ushuru Wa Ongezeko La Thamani (Vat).
Fresh curated links around msamaha wa Ushuru wa Ongezeko la Thamani (VAT) are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mbali na hizo, bidhaa nyingine zinazopendekezwa kuongezewa ushuru ni viatu vya plastiki.
WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...
WIZARA ya Fedha imebadili msimamo wake kuhusu mpango wa kuondoa ushuru wa forodha wa asilimia 25 unaotozwa simu za mkononi zinazoagizwa kutoka nje, hatua inayomaanisha kuwa Wakenya...
Utaratibu wa sasa unamtoza kodi mfanyabiashara pale tu atakapofungua biashara na kupata namba ya utambulisho wa mlipakodi.
Kwa mujibu wa mapendekezo hayo, baadhi ya bidhaa za chuma zitatozwa ushuru wa asilimia 10 au dola za Marekani 125 kwa kila tani moja badala ya asilimia 10 pekee kwa mwaka hivi sasa...
Pamoja na mwenendo wa hali ya uchumi na teknolojia ya mifumo ya kielektroniki katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa mapato, Wizara ya Fedha na Mipango imej...
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameeleza masikitiko yao kuhusu mwenendo wa Serikali wa kuendelea kutoa misamaha mingi ya kodi, wakati ikipanga bajeti kwa kutegemea mapato ya ndan...
SHIRIKISHO la Watumiaji bidhaa nchini (Cofek) limewasilisha kesi katika Mahakama Kuu likitaka kuondolewa kwa baadhi ya vipengele vya Mswada wa Fedha wa 2026, likidai vinaweza kuong...
Waendesha matatu wamesema wamechukua hatua hiyo baada ya serikali kutangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, wakidai kuwa gharama za uendeshaji zimepanda na kupunguza faida yao kwa...
USHURU wa mafuta na faida za kampuni za uuzaji mafuta sasa zinatarajiwa kuangaziwa kwa makini huku serikali ikipambana na muda kupunguza bei ya mafuta ndani ya siku saba zijazo ili...
Viongozi wa dini wamewahimiza wananchi kutosita kulipa kodi kwani kufanya hivyo ni sehemu ya ibada ambayo dini zote zinahimiza hilo.
Soma hapa...
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimewasilisha bajeti zao za Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 huku baadhi zikiweka nguvu kwenye mapato ya ndani kwa kutumia ra...
[Daily News] Dodoma -- MINISTER of Finance Ambassador Khamis Mussa Omar has announced that the government is proposing new revenue measures to support the financing of Universal He...
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Soma zaidi hapa...
Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imekusanya Sh1.215 trilioni katika mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa ni asilimia 96.7 ya lengo la kukusanya Sh1.257 trilioni.
[Capital FM] Nairobi -- The government has extended the application of the reduced 8 percent Value Added Tax (VAT) on petroleum products for an additional three months in a move ai...
SERIKALI ya Kenya imevuna Sh204.3 bilioni baada ya dili ya kuuza hisa zake katika Safaricom iliyokuwa inapingwa mahakamani hatimaye kukamilika. Serikali, kupitia Wizara ya Fedha...
Soma hapa...
Tanzania's 2026/27 budget is set at TZS 62.33 trillion (USD 24 billion), up 10.3% from the previous financial year, targeting 6.3% GDP growth with 74.2% financed from domestic reve...
The government plans to raise Sh7.5 billion through new levies on sugar and cigarettes to help finance the Universal Health Coverage (UHC) programme, Parliament was told.
Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara waliochaguliwa kuongoza kwa kipindi cha miaka minne ijayo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako, mkoani Njombe, wametakiwa kutatua changamot...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.