Latest updates for Kesi Mahakamani
Fresh curated links around kesi mahakamani are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Hali ilivyo mahakamani kesi ya Lissu
- Jamhuri yafunga ushahidi kesi ya Lissu
- DPP alivyokwama rufaa ya bangi mahakamani
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
DPP alivyokwama rufaa ya bangi mahakamani
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), ameshindwa katika juhudi zake za kuiomba Mahakama Kuu ibadilishe hukumu ya miaka mitatu jela dhidi ya Kenes Mbukwa, aliyekutwa na dawa za kule...
Deni la Sh18,000 lageuka kesi ya mauaji, Mahakama yabadilisha shtaka
Soma zaidi hapa...
Aliyehukumiwa kwa kuvunja, kuiba mahakamani aachiwa huru
Soma zaidi...
Mahakama yampa kibali askari aliyefukuzwa kazi kupinga uamuzi wa IGP
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Moshi, imempa kibali aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Msalika Maagi, kuwasilisha maombi ya mapitio ya kimahakama kupinga uamuzi wa Mk...
Hati ya mashtaka kesi ya upatu, vielelezo vyakinzana
Mpelelezi wa kesi ya kuendesha shughuli za upatu inayowakabili kampuni ya Atlantic Micro-Credit Limited na maofisa wake, amekiri mahakamani kuwa kuna tofauti kati ya hati ya mashta...
Kina Waitara wambwaga Maswi kortini, ashinda rufaa
Soma zaidi...
Mahakama yakataa kupokea video kesi ubunge wa Baba Levo
Soma zaidi...
Kesi ya washtakiwa 14, Jamhuri inasubiri tafsiri za nyaraka kutoka ubalozi wa Msumbiji
Wakili wa Serikali, Pancras Protas ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumanne, Agosti 4, 2026, kesi hiyo ilipotajwa.
Mahakama ilivyomkataa Zitto kesi ya ubunge wa Baba Levo
Soma hapa...
Lissu, Jamhuri kupimana tena ubavu kisheria mahakamani leo
Soma hapa...
Mahakama yatengua kifungo cha maisha kesi ya ubakaji
Mahakama ya Rufaa imebatilisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya mkazi wa Mto wa Mbu, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Baraka Makubi, baada ya kubaini kuwa ushahidi uliowa...
Ombi la mapitio ya kesi ya dhahabu kilo 131 latupiliwa mbali
Soma zaidi...
Aliyehukumiwa miaka 15 kwa kukutwa na heroini aachiwa huru
Imeeleza kuwa ucheleweshaji huo ulidhoofisha uaminifu wa ushahidi wa mashahidi wa mashtaka na kuacha mashaka yaliyopaswa kumpa faida mshtakiwa.
Madai ya maombi kanisani yashindwa kumuokoa, ahukumiwa kunyongwa
Soma zaidi hapa...
Mahakama yawaachia huru makada wa ACT Wazalendo walioshitakiwa kwa mauaji
Soma zaidi hapa...
Aliyefungwa miaka 30 kwa ubakaji aachiwa huru
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma imemwachia huru Hamisi Mwanang’ombe aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji, baada ya kubaini dosari ya msingi ya k...
Aliyepinga fidia ya DART akwama kortini, kulipa gharama za kesi
Mahakama Kuu ilikuwa imetupilia mbali shauri lake kwa gharama, baada ya kubaini kuwa alilipwa kikamilifu fidia ya ardhi yenye ukubwa wa mita za mraba 1,632.
Jela mwezi mmoja kwa kuiba 'fire extinguisher' kwenye boti
Mbali na kifungo hicho, mahakama imeamuru kifaa hicho chenye thamani ya Sh120,000, kirudishwe kwa mmiliki wake.
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.