Latest updates for Idara Ya Afya Umma
Fresh curated links around idara ya afya umma are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Tamu, chungu kupigana busu kiafya
- Esami yazindua kituo cha umahiri kuimarisha mifumo ya afya Afrika
- Serikali yaonya wasio wataalamu wa afya mitandaoni
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Esami yazindua kituo cha umahiri kuimarisha mifumo ya afya Afrika
Kituo hicho kinatarajiwa kuongeza uwezo wa serikali na taasisi mbalimbali katika kuboresha ufadhili wa sekta ya afya, kuimarisha utawala bora, uwajibikaji na matumizi ya teknolojia...
Serikali yaonya wasio wataalamu wa afya mitandaoni
Wataalamu wa afya nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutoa elimu sahihi kwa wananchi na kutowaachia watu wasio na utaalamu, kuendelea kusambaza taarifa zinazoweza kupoto...
Kutoboa kitovu, ulimi urembo wenye majuto, tahadhari za kiafya
Soma zaidi...
Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya afya ya Sh8 trilioni
Makubaliano hayo yatatekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030 kupitia uwekezaji wa pamoja wa Serikali ya Tanzania na Marekani, yakihusisha maeneo ya usalama wa afya, bima ya afya kwa...
Vituo vya afya 300 Zanzibar vyafanyiwa tathmini viwango vya ubora
Wakati vituo vya afya 300 vya Serikali na binafsi vikifanyiwa tathmini ya ubora, wataalamu waliohitimu mafunzo ya usimamizi wa ubora wa huduma za afya wametakiwa kutumia elimu hiyo...
Tanzania, Marekani zapanga mkataba mpya wa afya kuwa mfano Afrika
Mazungumzo hayo yalifungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa afya kati ya nchi hizo mbili, huku Tanzania ikiweka wazi dhamira yake ya kujenga mfumo imara zaidi wa afya unaojitegemea n...
Serikali yaweka mikakati kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza
Wizara na taasisi mbalimbali za Serikali zimeungana kuandaa mikakati ya pamoja ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs), kufuatia tahadhari ya Shirika la Afya Duniani (WHO)...
Sh405 bilioni kutekeleza vipaumbele sita Wizara ya Afya
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
Serikali yatangaza msako migahawa hatari kwa afya ya binadamu
Pamoja na migahawa kuwainua wengi kiuchumi na kusaidia kundi kubwa kwenye jamii, wakiwemo wageni na wenyeji, ndani yake kuna mwiba mkali kutokana na baadhi kutozingatia sheria na t...
Tanzania yaimarisha timu ya kukabiliana na magonjwa ya dharura, mlipuko
Dk Janeth amesema endapo yatatokea majanga yoyote ya kiafya timu hiyo ndiyo itakuwa mstari wa mbele kukabiliana na majanga hayo kwa haraka na hivyo kupunguza vifo.
Tanzania yaibuka kinara mageuzi ya afya kidijitali Afrika
Tanzania imeendelea kujijengea nafasi kama moja ya nchi zinazoongoza mageuzi ya kidijitali katika sekta ya afya barani Afrika, baada ya kuunganisha mifumo na kupanua huduma za tib...
Mchengerwa atoa mwongozo utoshelevu wa dawa, chanjo, vifaa tiba
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amewataka watafiti na wadau wa sekta ya afya nchini kuweka mikakati madhubuti itakayoiwezesha Tanzania kujitosheleza kwa dawa, chanjo na vifaa ti...
Burudani zinapopora usingizi, kuhatarisha afya ya umma -1
Soma zaidi hapa...
Ugumu ulipo kudhibiti kelele hatari kwa afya
Soma zaidi hapa...
Vifo vya Ebola vyafikia 131, maambukizi yakishika kasi
Shirika la Afya Duniani (WHO) tayari limetangaza mlipuko huo wa Ebola unaosababishwa na kirusi cha aina ya Bundibugyo kuwa ni dharura ya afya ya umma ya kimataifa.
SMZ kutumia Sh1 trilioni kuimarisha huduma za afya mwaka 2026/30
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Hemed aufunga mjadala wa ajira, bima ya afya
Soma zaidi hapa...
Watendaji kada ya afya Z’bar sasa kupimwa kwa ubora wa huduma
Baada ya uwekezaji katika miundombinu, vifaa na fedha katika sekta ya afya, Wizara ya Afya Zanzibar imesema sasa jukumu lililobaki kwa viongozi ni kuhakikisha uwekezaji huo unazali...
Utafiti wafichua viuatilifu vinavyoweka watoto hatarini
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) umeibua hofu kuhusu athari za viuatilifu kwa afya ya watoto na kina mama.
Baraza la Famasi lasitisha utambuzi wahitimu kozi ya mwaka mmoja
Baraza la Famasi ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya, yenye jukumu la kusajili wataalamu wa famasi, kusimamia maadili yao pamoja na kuhakikisha wanatoa huduma kwa...
Wataalamu wa afya wasisitiza tafiti kupunguza vifo vinavyozuilika
Wataalamu wa afya, watunga sera, watafiti na wadau wa sekta ya afya wamesisitiza umuhimu wa matumizi ya ushahidi wa kisayansi (tafiti) katika utoaji wa huduma kwa wagonjwa, ili kup...
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.