Hamtaingia DCP kienyeji, asema Gachagua akiunda kamati ya kupekua wanaohama serikali
CHAMA cha Democracy for Citizens Party (DCP) kinachoongozwa na Rigathi Gachagua kimeunda kamati maalumu ya watu saba kuchuja viongozi wanaotaka kuhama kutoka chama cha United Democ...