Wakenya karibu 100,000 hawajui wana HIV hivyo kuzua hofu ya muendelezo wa maambukizi
MKENYA mmoja kwa kila watano anaishi na virusi vya HIV na hajui hilo, kulingana na ripoti mpya ya Baraza la Kitaifa la Kudhibiti Maradhi ya Kuambukizana (NSDCC). Kati ya watu 1.48...