Gachagua aelekea Marekani kupanga mikakati ya 2027
Kiongozi wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameondoka nchini Kenya kuelekea Marekani kwa mara nyingine, safari inayolenga kupumzika, kuweka mika...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Aliyekuwa Naibu Rais Wa Kenya Rigathi Gachagua.
Fresh curated links around aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Kiongozi wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameondoka nchini Kenya kuelekea Marekani kwa mara nyingine, safari inayolenga kupumzika, kuweka mika...
VITA vya kisiasa vya kudhibiti Mlima Kenya vinaingia awamu mpya huku aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua akijaribu kuimarisha ushawishi wake katika eneo hilo kuelekea uchaguzi wa...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua anakabiliwa na changamoto mpya katika juhudi zake za kudhibiti siasa za eneo la Mlima Kenya, mwezi mm...
MIKUTANO ya siku 45 inaoendelea nyumbani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Wamunyoro, Kaunti ya Nyeri, imeibuka kuwa jukwaa muhimu la kujadili mwelekeo wa kisiasa wa eneo...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, anatarajiwa kuanza rasmi shughuli zake za kisiasa nchini Amerika kesho Jumatatu baada ya kukamilisha...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameongeza kwa siku 10 mkutano wake wa kisiasa unaoendelea katika makazi yake ya Wamunyoro, Kaunti ya Nye...
Former Kenyan Deputy President Rigathi Gachagua was impeached in October 2024 following a motion in the National Assembly and removal by the Senate, with the High Court upholding h...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameapa kupinga kile alichokitaja kama njama za Rais William Ruto kugawanya eneo la Mlima Kenya kabla ya...
WASHIRIKA wa Rais William Ruto sasa wanasema aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua yuko huru kuzuru Bonde la Ufa Kusini, lakini wakamwonya asichukulie mapokezi atakayopata kama ish...
ALIYEKUWA Naibu Rais, Rigathi Gachagua amesema hatafika mbele ya Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) Agosti 27 kama alivyoamrishwa. NCIC ilimtaka kiongozi huyo wa DCP...
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua jana aliwasilisha rufaa katika Mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu uliothibitisha kuondolewa kwake mamlakani na Seneti mnamo 2024...
TAKRIBAN thuluthi mbili ya wafuasi wa kiongozi wa Democracy for the Citizens (DCP) Rigathi Gachagua wanaompinga Rais William Ruto wanaamini hafai kuwania urais mwaka ujao, bali amu...
Mathira MP Eric Wamumbi claims former Deputy President Rigathi Gachagua has repeatedly lobbied him to join the Democracy for the Citizens Party (DCP), but he firmly rejects abandon...
CHAMA cha DCP kinachoongozwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kinazidi kujitokeza kama tishio kubwa kwa Jubilee, chama cha aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta, huku kikivamia ngo...
ALIYEKUWA Naibu Rais, Rigathi Gachagua ametaka maafisa kutoka Scotland Yard ya Uingereza na Shirika la Upelelezi la Amerika (FBI) waalikwe nchini kuchunguza ajali ya helikopta iliy...
MGALA muue, lakini haki yake umpe. Ni msemo unaoafiki zaidi kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua. Tangu atimuliwe kutoka wadhifa wa naibu rais karibu miaka miwili iliyopita...
NAIBU Rais Kithure Kindiki amesema yuko tayari kumkabili mtangulizi wake Rigathi Gachagua katika vita vinavyozidi kupamba moto vya kudhibiti siasa za Mlima Kenya kuelekea Uchaguzi...
VIONGOZI wa Taita-Taveta wakiongozwa na Gavana Andrew Mwadime wamewaonya wakazi wa Pwani dhidi ya kuunga mkono siasa za upinzani zinazoongozwa na kinara wa chama cha DCP, Bw Rigath...
Former Deputy President Rigathi Gachagua said he will meet Uhuru Kenyatta before the United Opposition decides on its presidential candidate for the 2027 general elections. Speakin...
Eldas MP Adan Keynan has named former Deputy President Rigathi Gachagua as the new political leader of the Mt Kenya region, following Democracy for the Citizens Party (DCP) candida...
SIKU chache baada ya kupata ushindi katika uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou, aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua sasa ameelekeza juhudi zake Mlima Kenya Mashariki katik...
Suna East MP Junet Mohamed accused former Deputy President Rigathi Gachagua of showing a lack of empathy and using the death of former Prime Minister Raila Odinga for political gai...
WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Geoffrey Ruku, amesema matokeo ya uchaguzi mdogo wa Ol Kalou hayana athari kwa siasa za Mlima Kenya Mashariki, akisisitiza kuwa eneo hilo limeamua kuend...
HUKU vita vya kisiasa kudhibiti kura za eneo la Mlima Kenya vikizidi kushika kasi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027, mrengo wa tatu wa kisiasa unaohusishwa na Rais William Ruto umeibu...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.