Riggy G, Kindiki wapondana kuhusu uchaguzi mdogo
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua ameongeza makali ya siasa kwa kumshambulia Naibu Rais Kithure Kindiki, akimtaja kama kiongozi asiye na msimamo na anayefuata kila agizo la Rai...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua.
Fresh curated links around aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua ameongeza makali ya siasa kwa kumshambulia Naibu Rais Kithure Kindiki, akimtaja kama kiongozi asiye na msimamo na anayefuata kila agizo la Rai...
RAIS William Ruto amemjibu vikali aliyekuwa Naibu wake na kiongozi wa Democracy for the Citizens Party Rigathi Gachagua, akisema hatompigia magoti ili kupata kura za Mlima Kenya....
KIONGOZI wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP) Rigathi Gachagua yuko Uingereza kwa ziara ya mwezi mmoja inayolenga kutafuta angalau Sh1 bilioni za kufadhili maandaliz...
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua ameondoa madai ya upendeleo dhidi ya jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu, hatua inayoashiria mabadiliko ya kimkakati huku akielekeza nguvu z...
DAKTARI mtaalamu wa moyo Daniel Gikonyo jana aliambia Mahakama Kuu kuwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua alikuwa mgonjwa kweli na hakujifanya ili kukwepa Seneti wakati wa mcha...
ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa ameachana na nia ya kutaka arejeshewe wadhifa wa unaibu rais akimakinikia malipo ya huduma alizotoa katika afisi hiyo kabla ya kuondolewa...
SENETI imetilia shaka ushahidi wa matibabu uliowasilishwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua katika kesi inayoendelea kuhusu kuondolewa kwake mamlakani. Kupitia Karani wa Se...
WALALAMISHI wanaokosoa kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, wameambia Mahakama Kuu kuwa mchakato huo haukuwa wa kikatiba bali ulipangwa kisiasa kwa leng...
RAIS William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua wanatarajiwa kukabana koo tena kisiasa huku uchaguzi mdogo wa eneobunge la Emurua Dikirr mnamo Mei 14 ukikaribia. Kiny...
RAIS William Ruto jana aliendelea kumshambulia aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, akimshutumu kwa kukandamiza haki na uhuru wa kidemokrasia wa wakazi wa Mlima Kenya. Kiongoz...
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizns Party (DCP), Rigathi Gachagua aliweza kupenya katika ngome ya kisiasa ya aliyekuwa mkubwa wake Rais William Ruto katika uchaguzi mdogo w...
UCHAGUZI mdogo wa eneobunge la Ol Kalou ambao umeratibiwa kufanyika Julai 16 umefichua mvutano unaozidi kuongezeka kati ya chama cha Jubilee, kinachohusishwa na Rais mstaafu Uhuru...
NAIBU wa Rais Prof Kithure Kindiki amekita kambi eneo la Mlima Kenya baada kubainika kuwa ndani ya siku 58 pekee amefanya mikutano 15. Kuanzia Machi 1, 2026 hadi Aprili 27, 2026,...
UKURUBA mpya wa kisiasa kati ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na aliyekuwa naibu wa rais, Bw Rigathi Gachagua unaweza kubadilisha kabisa siasa za Mlima Kenya na kuathiri mipango ya R...
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema kuwa upinzani umefikia makubaliano ya pamoja ya kumuidhinisha Mbunge wa Nyali Mohammed Ali kuwania kiti cha ugavana kaunti ya Mombasa...
MWENYEKITI wa kampuni ya Stabex International Ltd, Jackson Chebett, amemshtaki aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa kumchafulia jina kwa kumhusisha na sakata ya hivi majuzi ya...
MAELEZO mapya kuhusu wosia wa marehemu Nderitu Gachagua yameibuka baada ya kufichuliwa hadharani, yakionyesha jinsi mali yake ilivyogawanywa miongoni mwa wanufaika 23, huku pia yak...
Former Deputy President Rigathi Gachagua walked back into the Milimani Law Courts on Thursday, May 7, as judges resumed hearing his petition challenging the impeachment that stripp...
MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amejikuta katikati ya mvutano mkali wa kisiasa Mlima Kenya, ambapo mirengo mikuu ya kisiasa inammezea mate kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Baad...
DCP Party Leader Rigathi Gachagua dropped a political bombshell on Tuesday, May 12, 2026, accusing French President Emmanuel Macron of being a direct participant in a Ksh 7.3 billi...
Former Deputy President Rigathi Gachagua is taking his fundraising campaign international. Speaking at a press briefing in Nairobi on Tuesday, Gachagua announced plans to travel to...
Gachagua spoke during the burial ceremony of the late former Ol Kalou Member of Parliament David Kiaraho in Nyandarua University grounds.
RAIS William Ruto sasa amekumbatia mbinu mpya ya kusaka uungwaji mkono katika eneo la Mlima Kenya akisema kuwa ‘atarudisha mkono’ mwaka wa 2032 kwa kuunga naibu wake Prof Kithure K...
Former Deputy President Rigathi Gachagua used the funeral service of Reverend Julius Ndumia on Monday, May 11, to launch a pointed attack on the investigation into the clergyman’s...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.