Huduma za upasuaji nguzo muhimu ya afya wananchi
Afya ni msingi wa maendeleo, na huduma za upasuaji ni sehemu muhimu ya huduma hizi adhimu.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Afya Jamii.
Fresh curated links around afya jamii are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Afya ni msingi wa maendeleo, na huduma za upasuaji ni sehemu muhimu ya huduma hizi adhimu.
Soma hapa...
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa saratani katika Hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH).
Kibaha. Wananchi wa kata za Tangini, Pangani na Kidimu katika Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani wameeleza faraja yao kufuatia kusogezewa huduma za afya kupitia Zahanati ya Tangini, w...
Kauli ya gharama za kumuona daktari kwa wagonjwa, imewaibua madaktari na kueleza kinachoendelea huku wakionya siasa zisiingizwe kwenye afya za watu.
Soma zaidi...
Ingawa hakuna takwimu kamili, ametoa rai kwa jamii kuhusu umuhimu wa uchunguzi afya zao mapema pamoja na mabadiliko ya mtindo wa maisha ili kupunguza hatari ya kukumbwa na maradhi...
Soma zaidi hapa...
Wakati huohuo, maambukizi katika jamii yameshuka kwa takribani asilimia 30, kutoka asilimia 8.1 mwaka 2022 hadi asilimia 5.7 mwaka 2025.
Tanzania imeendelea kujijengea nafasi kama moja ya nchi zinazoongoza mageuzi ya kidijitali katika sekta ya afya barani Afrika, baada ya kuunganisha mifumo na kupanua huduma za tib...
Mazungumzo hayo yalifungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa afya kati ya nchi hizo mbili, huku Tanzania ikiweka wazi dhamira yake ya kujenga mfumo imara zaidi wa afya unaojitegemea n...
Bodi hiyo ilizinduliwa Machi 27 mwaka jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumisii wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwan Kikwete.
Wabunge wametaja moja ya changamoto katika kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kuwa ni Watanzania kutokuwa na utamaduni wa kupima afya zao.
Hatua hiyo inayolenga kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi, ikiwa ni maadhimisho ya miaka 19 tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo.
Hospitali hiyo imewataka wananchi wanaokutana na changamoto ya aina hiyo kuwasiliana na hospitali kupitia namba za simu za viongozi zilizobandikwa kwenye mbao za matangazo hospital...
Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi, kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesisitiza kuwa kipaumbele kwa usalama wa afya na mwili...
Wizara ya Afya imeomba kuhidhinishiwa Sh405.89 bilioni kutekeleza vipaumbele sita ambayo vitajikita katika, kuimarisha utoaji huduma, ujenzi wa miundombinu ya afya, vifaa tiba, kui...
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Kituo cha Afya cha Kimalel, Baringo Kusini, kilikuwa zaidi ya kituo cha afya cha kawaida vijijini; kilikuwa nguzo ya uhai, mahali ambapo matumaini yalichipuka na maisha kuokolewa....
Baraza la Famasi ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya, yenye jukumu la kusajili wataalamu wa famasi, kusimamia maadili yao pamoja na kuhakikisha wanatoa huduma kwa...
Soma zaidi hapa...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuchukua hatua mathubuti kufanya mageuzi makubwa ya sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuongeza bajeti ya dawa, ili kuondoa...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.