Latest updates for Wizara Ya Usalama Wa...
Fresh curated links around Wizara ya Usalama wa... are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Wadau wamshukia Msajili tishio kwa Chadema
- Ujenzi usiozingatia taaluma wahatarisha usalama wa shule
- Ishu ya mabaunsa, Serikali yatoa msimamo
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Ujenzi usiozingatia taaluma wahatarisha usalama wa shule
Soma zaidi hapa...
Mahita ataja kinachoisibu polisi, wadau wasema...
Soma zaidi...
Moto wateketeza jengo la Mahakama Lugoba
Wakizungumza na Mwananchi, baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Pwani wamesema tukio hilo limeibua hofu kuhusu usalama wa majengo ya umma, hususan yale yanayohifadhi nyaraka nyeti za kisher...
Waziri Mkuu aonya wanaotumika kuhujumu utulivu wa nchi
Dk Mwigulu amesema Serikali imebaini kuwepo kwa watu wanaoendesha shughuli za makusudi za kuchochea taharuki katika jamii, huku akiwataka wananchi kuwa makini na taarifa wanazopoke...
Koplo alivyowabwaga IGP, RPC kortini, uamuzi wao wabatilishwa
Soma zaidi...
Wadau wataja mbinu za kurejesha imani ya wananchi kwa Polisi
Soma hapa...
Home Affairs Ministry Appoints the Road Safety Committees in 31 Police Regions
[Daily News] Dar es Salaam -- THE Chairperson of the National Road Safety Council and Deputy Minister for Home Affairs, Ayoub Mohammed Mahmoud, has appointed chairpersons, members...
CCM yasisitiza ulinzi wa miundombinu ya Stendi mpya Moshi
Kimesema miradi ya maendeleo ni nguzo muhimu ya ustawi wa wananchi na hivyo inahitaji ulinzi na ushirikiano wa kila mwananchi katika kuilinda dhidi ya uharibifu.
Sintofahamu yaibuka wakili aliyekamatwa mahakamani
Soma zaidi hapa....
RC Songwe awaonya wanaozusha taharuki ya kuibiwa nyeti
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame, ameonya watu wanaozusha taharuki kwa madai ya kuibiwa nyeti kwa njia za kishirikina, akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia vitendo vin...
Wawili kushikilia ofisi za CWT wakisubiri hatima ya viongozi wao
Soma zaidi...
RC Mara atoa maelekezo haya kwa Jeshi la Polisi
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea, jambo ambalo amesema limekuwa likisababisha jamii kupata bughudha na usumbufu bila saba...
Ulinzi na NIS zamegewa Sh310 bilioni, matumizi makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa
WIZARA ya Ulinzi na Huduma ya Kitaifa kuhusu Ujasusi (NIS) zitapokea jumla ya Sh310 bilioni kwenye bajeti ya 2026, kiasi ambacho ni cha pili kikubwa zaidi baada ya Tume ya Huduma k...
Serikali yapinga wazo la kuchapisha Nida Zanzibar
Serikali imesema haina mpango wa kuanza kuchapisha vitambulisho vya Taifa vya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) Zanzibar kwa mfumo unaotumika katika utoaji wa pasi za kusafi...
10 mbaroni wakidai kuchukuliwa nyeti zao Zanzibar
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, linawashikilia watu 10 wakidai kuchukuliwa nyeti zao na kusababisha madhara makubwa kwa watu waliowatuhumu.
SMZ yaeleza athari za msimamo mkali, wananchi watakiwa kubadilika
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeeleza athari za msimamo mkali ikiwa ni pamoja na kuvurugika kwa usalama wa amani ya nchi, hivyo kuwataka wananchi kuwa makini na makundi...
Wataalamu wasio na sifa tishio sekta ya mipango miji
Serikali imeonya kuwa ukuaji wa miji usioendana na mipango bora umechangia zaidi ya asilimia 67.9 ya makazi kujengwa katika maeneo yasiyopangwa, hali inayosababisha changamoto za m...
Wizara yaomba Sh20 bilioni za polisi kujiandaa kwa uchaguzi
WIZARA ya Usalama wa Ndani na Utawala wa Kitaifa imeanzisha mpango wa Sh20 bilioni wa kupanua Kituo cha Kitaifa cha Ulinzi na Udhibiti wa Usalama (IC4), pamoja na mageuzi mengine y...
Polisi Mwanza waimarisha doria kuelekea Pasaka
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limeimarisha doria katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, ikiwemo barabarani, visiwani na katika maeneo ya mikusanyiko ya watu, ili kuhakikisha wananc...
Mamlaka zinasubiri malalamiko ya wananchi na si sheria - 2
Soma hapa....
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.