Latest updates for Waziri Wa Kilimo Baringo Milka Toromo

Fresh curated links around Waziri wa Kilimo Baringo Milka Toromo are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Wawakilishi waikalia kooni Wizara ya Kilimo, wakiitaka kutumia teknolojia
  • Jinsi kaunti kame zinavyojenga upya uchumi kupitia kilimo himilivu kwa tabianchi
  • Serikali yasisitiza mifumo imara ya mbegu kwa usalama wa chakula

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /1 week ago

Wawakilishi waikalia kooni Wizara ya Kilimo, wakiitaka kutumia teknolojia

Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27 kutekeleza miradi 10 ya maendeleo, wajumbe wa Baraza la W...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Jinsi kaunti kame zinavyojenga upya uchumi kupitia kilimo himilivu kwa tabianchi

KWA miaka mingi, ukame, mvua zisizotabirika na upotevu wa mifugo vimekuwa vikitatiza maeneo kame na nusu-kame (ASAL) nchini. Lakini simulizi hiyo inaanza kubadilika. Badala ya...

Read source
mwananchi.co.tz /2 days ago

Serikali yasisitiza mifumo imara ya mbegu kwa usalama wa chakula

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema hakuna kilimo chenye tija bila uwepo wa mbegu bora pamoja na mifumo imara ya uzalishaji na usambazaji wa mbegu kwa wakulima.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Mishi Mboko aomba Waziri Murkomen akomesha unyanyasaji dhidi ya wanawake

MBUNGE wa Likoni, Mishi Mboko ameomba Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kuingilia kati na kukomesha ukatili dhidi ya wanawake katika Kaunti ya Mombasa. Bi Mboko alia...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Wawakilishi waibana Serikali kilimo cha kisasa, viwanda, wakipitisha bajeti ofisi ya OMPR

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameitaka Serikali kuongeza nguvu katika kilimo cha kisasa na ujenzi wa viwanda, ili kukuza uchumi wa nchi pamoja na kuongeza ajira kwa wa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Mwelekeo mpya bei ya Cocoa

Wakati matumaini yakirejea kwa wakulima wilayani Kyela kufuatia bei ya cocoa kupanda, wadau na Serikali wametaja mikakati na mipango kuhakikisha zao hilo linaendelea kupaa, huku wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Kioja daraja likisombwa na mafuriko lilipoanza kutumika Baringo ya Kati

WAKAZI wa kijiji cha Chesongo, Baringo Kati, wamebaki wakishangaa baada ya daraja jipya la watembea kwa miguu kusombwa na mafuriko saa chache tu baada ya kuzinduliwa rasmi. Daraja...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Linet Toto aagizwa kumlipa mfanyakazi wake Sh1 milioni

MAHAKAMA ya Ajira na Leba imeagiza Mwakilishi wa Wanawake wa Bomet, Linet Chepkorir Toto, kumlipa aliyekuwa mfanyakazi wake karibu Sh1 milioni kwa kufutwa kazi kinyume cha sheria h...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Temesa yapata bosi mpya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Kheri Abdul Mahimbali, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa).

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wajumbe wa Bodi ya Kahawa wafanya ziara Kagera, wahimiza soko la ushindani

Wajumbe wa bodi ya Kahawa wametembelea kiwanda cha kuchakata kahawa cha Amimza kinachozalisha takribani tani 18,000 ya zao hilo.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ajabu kituo cha afya kilichokuwa tegemeo kwa wakazi chabadilika makazi ya nyoka

Kituo cha Afya cha Kimalel, Baringo Kusini, kilikuwa zaidi ya kituo cha afya cha kawaida vijijini; kilikuwa nguzo ya uhai, mahali ambapo matumaini yalichipuka na maisha kuokolewa....

Read source
mwananchi.co.tz /1 day ago

Mtendaji Simanjiro miaka 20 jela kwa ubadhirifu wa Sh3.3 milioni

Mahakama hiyo imemtia hatiani Mollel katika kesi iliyokuwa ikiendeshwa na mwendesha mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Faustin Mushi.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Murkomen aagiza msako dhidi ya pombe haramu kwa kutumia kikosi maalum

WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen ametangaza mpango wa kupeleka kikosi maalum cha polisi katika Bonde la Kerio ili kuimarisha msako dhidi ya utengenezaji na matumizi ya...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Hatari ya kupanda malori ya mizigo

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Maagizo matano ya Rais Samia kuboresha sekta ya mama, baba lishe

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo matano yanayolenga kuboresha sekta ya mama na baba lishe nchini, akisisitiza kuwa kundi hilo ni mhimili muhimu wa uchumi wa kila siku na ust...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Analenga kilimo cha kuhifadhi mazingira

TULIPOMTEMBELA Judith Munyasa katika kijiji cha Nzoia A, Kaunti ya Bungoma, tulimpata akikagua viazi alivyovuna siku chache zilizopita. Pamoja na wanawe, Judith, aliyejaaliwa wa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Waziri abanwa bungeni, Dk Mwigulu na Spika Zungu wasema...

Serikali imetaja sababu tatu zinazosababisha kucheleweshwa kwa malipo ya kifuta jasho na machozi kwa watu walioathiriwa na wanyama wakali na waharibifu wa mazao.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Maziwa ya ngamia: Hadithi ya ‘dhahabu nyeupe’ ya mama Zamzam

KAUNTI ya Laikipia ikiwa miongoni mwa maeneo ambayo athari za tabianchi zinaendelea kutatiza mifumo ya jadi ya ufugaji, mabadiliko makubwa yanaibuka kimya kimya yakiongozwa na ngam...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

DC Kilombero aagiza watendaji kusimamia kazi ya ugawaji, matumizi ya vyandarua

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya amewaagiza watendaji wa kata, vijiji na mitaa kuhakikisha kila mwananchi aliyeandikishwa kupata chandarua kwenye halmashauri ya mji Ifak...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Umekanishaji unavyobadilisha sura ya kilimo Kenya

KWA miaka mingi, wakulima Kenya wamekuwa wakitegemea majembe ya mikono na nguvu zao wenyewe kuendeleza shughuli za kilimo. Kuanzia kupanda, kupalilia, kunyunyizia mimea dawa ha...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Dk Mkama atoa agizo mafunzo ya Tehama kwa wasichana

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Switberti Mkama, ameiagiza Wizara pamoja na taasisi zinazohusika na masuala ya teknolojia kuanza kufuatilia mafunzo ya Teham...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

UWT yawafariji wanafunzi waliounguliwa bweni

Makamu Mwenyeti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Zainab Khamis Shomar amewataka wanafunzi walioathiriwa na janga la moto katika Shule ya Sekondari Fedel Castro ku...

Read source
jobwebtanzania.com /1 month ago

Zonal Agronomist Job at Meru Agro-Tours & Consultants Co. Ltd (MATCC)

Zonal Agronomist Job at Meru Agro-Tours & Consultants Co. Ltd (MATCC) – April 2026 Zonal Agronomist Job at Meru Agro-Tours & Consultants Co. Ltd (MATCC) – April 2026 M/S Me...

Read source
mwananchi.co.tz /3 days ago

Mbarali yatarajia kuvuna tani 430,452 za mpunga, masoko yatajwa

Kufuatia uwekezaji wa Serikali katika kuboresha miundombinu ya sekta ya kilimo, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, inatarajia kuzalisha tani 430,452 za mpunga katika ms...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Waziri Wa Kilimo Baringo Milka Toromo

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

jobwebtanzania.com

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source