Latest updates for Wahuni Wachapa Waandamanaji

Fresh curated links around Wahuni wachapa waandamanaji are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Wauguzi wavamiwa na wahuni Kisii wakijiandaa kuwasilisha malalamishi kwa serikali
  • Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi
  • TAHARIRI: Serikali inalala kazini wakati ambapo uhuni unakita mizizi nchini

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Wauguzi wavamiwa na wahuni Kisii wakijiandaa kuwasilisha malalamishi kwa serikali

WAUGUZI wanaoendelea na mgomo katika Kaunti ya Kisii, jana walishambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa wahuni walipokuwa wakijiandaa kushiriki mgomo wa amani na kuwasilisha malalamishi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi

ZAIDI ya siku nne baada ya ghasia zilizoshuhidiwa katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, hakuna mwanasiasa, mfadhili au mmiliki wa magari yanayodaiwa kutumiwa na watu wenye s...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

TAHARIRI: Serikali inalala kazini wakati ambapo uhuni unakita mizizi nchini

SERIKALI haiwezi kuruhusiwa kukaa kimya huku visa vya uhuni wa kisiasa vikiongezeka. Kwa muda mrefu serikali imekuwa ikitoa vitisho vikali visivyotekelezwa. Kila mara viongozi wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wahuni ghasia za Ol Kalou hawajashikwa timu ya DCI ikisema ‘inasubiri maagizo ya wakubwa’

WAHUNI waliozua vurugu wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou bado hawajakamatwa licha ya Rais William Ruto kuagiza  maafisa wa usalama kuwasaka wahusika, hali inayozua mas...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Mapanga 500 na silaha zingine zilisambaziwa wahuni Homa Bay, polisi wafichua

TAKRIBAN vijana 500 walilipwa kuziba barabara kuwazuia wafuasi wa Linda Mwananchi kuingia Homa Bay wakati wa mkutano wao Jumapili iliyopita, huku polisi wakifichua kuwa mapanga 500...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wanawake pia hutumika kueneza uhuni wa kisiasa-Utafiti

WANAWAKE wanazidi kuwa sehemu muhimu lakini isiyoonekana ya mitandao ya wahuni wa kisiasa nchini, huku wakitumika kuhamasisha vijana, kusafirisha silaha kwa siri na kukusanya taari...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Makada Chadema, mhadhiri UDOM kortini kwa ugaidi

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Katibu wa Bavicha akamatwa madai ya kuhamasisha maandamano

Kutokana na taarifa hizo kuzua maswali mengi, Mwananchi ilifanya ufuatiliaji kwa viongozi wa chama hicho na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ili kuthibitisha kilichotokea.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Bakwata yavunja ukimya sakata la Sheikh Walid

Soma zaidi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Sifuna: Tulinasa simu ya polisi mmoja aliyeshirikiana na wahuni, tutaitumia kama ushahidi

KINARA wa vuguvugu la kisiasa la Linda Mwananchi Edwin Sifuna amesema wanayo katika hifadhi yao chombo cha mawasiliano anachosema kilipatikana kwa mwanamume mmoja aliyenaswa na waf...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Taharuki fupi ya vitoa machozi mkutano wa Linda Mwananchi Meru vijana wakisaidiana kuzima

TAHARUKI ilitanda kwa muda mfupi eneo la Makutano, Meru wakati mwanamume anayeaminika kuwa afisa wa polisi aliporusha gesi ya kutoa machozi kwa mkutano wa Linda Mwananchi. H...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wawili mbaroni wakituhumiwa kumuua dereva bodaboda Kijangwa

Soma hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Wanahabari wajeruhiwa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay

WAANDISHI wawili wa habari walijeruhiwa na biashara kusitishwa katika Mji wa Homa Bay Jumapili huku mvutano ukizuka kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi. Waandishi wa AFP Fred Ooko...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wahadhiri vyuo vikuu watoa tamko kupinga kamatakamata

Soma hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Hata waliotorokea kanisani walipigwa Homa Bay

KANISA la SDA Lake Victoria Field liligeuka kuwa eneo la vurugu Jumapili baada ya watu waliokuwa wakitoroka makabiliano ya kisiasa Homa Bay kukimbilia humo kutafuta hifadhi. Kasis...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jhanda sasa adai wakazi wa Keumbu walichokozwa na Linda Mwananchi

MBUNGE wa Nyaribari Chache, Zaheer Jhanda, amevunja kimya chake kuhusu uvamizi dhidi ya msafara wa viongozi wa Linda Mwananchi katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, zaidi ya wiki...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Mpinzani wa Hichilema ashikiliwa kwa tuhuma za uhaini

Kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile na mgombea mwenza wake, Makebi Zulu wamewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa tuhuma zinazohusishwa na uhaini, hatua inayoongeza m...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mamia wawazika ndugu waliouawa, wapinga madai ya mgogoro wa fedha

Mamia ya waombolezaji wamejitokeza eneo la Mwananyamala Kisiwani, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kushiriki mazishi ya ndugu wawili wanaodaiwa kuuawa kikatili na mtoto wao...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Matiang’i awaonya viongozi dhidi ya kufadhili wahuni

NAIBU Kiongozi wa Chama cha Jubilee, Dkt Fred Matiang’i, ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kutokana na uhuni wa kisiasa. Aliwataka viongozi kuacha kufadhili makundi ya wahuni...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kenya yageuzwa ngome ya wahuni sasa wakitumiwa kutwaa ardhi, biashara na mali

KENYA inaendelea kugeuka kuwa paradiso ya wahuni wanaotumiwa kutwaa ardhi, nyumba, biashara na mali nyingine huku amri za mahakama zikipuuzwa na mamlaka zikionekana kushindwa kuwal...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Ruto alivyokutana na janga linaloendelea la uhuni katika mkutano wake Emurua Dikirr

GHASIA za kisiasa zilitia doa ziara ya Rais William Ruto katika Kaunti ya Narok Jumatano, baada ya watu wasiopungua sita kujeruhiwa kwa mishale huku wengine kadhaa wakipata majerah...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua awasha moto kwa kutaka vyama vya Mlima Kenya vivunjwe

MVUTANO wa kisiasa unaendelea kutokota katika eneo la Mlima Kenya na kutishia juhudi za kuunganisha upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka ujao. Chanzo cha mzozo huo ni matamshi ya...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Wadau wataja suluhu mauaji ya wanandoa, wapenzi

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Wantam: Sifuna atua Meru kwa kishindo!

SIKU chache baada ya kukumbwa na ghasia zilizosababisha vifo katika Kaunti ya Homa Bay, viongozi wa vuguvugu la Linda Mwananchi jana walijipigia debe katika Kaunti ya Meru wakisema...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Wahuni Wachapa Waandamanaji

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source