Latest updates for Wakulima

Fresh curated links around WAKULIMA are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Wakulima Momba waridhia kuuza ufuta kwa wastani wa Sh2,714.90
  • Jinsi kilimo cha hoho kinavyompiga jeki mashinani
  • Apata tija katika kilimo cha miwa kama ‘tunda’ la kutafuna na kukamua juisi

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Wakulima Momba waridhia kuuza ufuta kwa wastani wa Sh2,714.90

Bei iliyopatikana pia imepokewa vyema na wakulima, bei ya juu ikiwa Sh2,740 na ya chini Sh2,655 na hivyo kupata wastani wa Sh2714.90 kwa kilo moja.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 days ago

Jinsi kilimo cha hoho kinavyompiga jeki mashinani

TAKRIBAN kilomita tatu kutoka barabara ya Elburgon-Njoro, tulifika kwenye mpaka wa mashamba ya Tegat na Nyakiambi katika Kaunti Ndogo ya Molo ambapo Susan Wairimu hukuza pilipili h...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Apata tija katika kilimo cha miwa kama ‘tunda’ la kutafuna na kukamua juisi

WADI za Ibeno na Keumbu katika eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii ni maarufu sana katika ukuzaji wa miwa ya kutafuna. Unapozuru maeneo hayo kwa mara ya kwanza, utakari...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Jinsi kaunti kame zinavyojenga upya uchumi kupitia kilimo himilivu kwa tabianchi

KWA miaka mingi, ukame, mvua zisizotabirika na upotevu wa mifugo vimekuwa vikitatiza maeneo kame na nusu-kame (ASAL) nchini. Lakini simulizi hiyo inaanza kubadilika. Badala ya...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Kijana aliyeamua kulima avokado badala ya kusubiri ajira

VIJANA wengi wanapofuzu kutoka vyuoni humu nchini, maombi yao huwa ni wapate kazi katika nyanja walizozisomea ndiposa wakubali kuwa wamepata ufanisi katika masomo yao. Ni nadra sa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Akili Mali: Siri ya kuwa milionea kwa kukuza vitunguu

VITUNGUU ni kati ya mimea inayochukua muda mfupi kukomaa inayokuzwa na wakulima wengi nchini hasa wenye chanzo cha maji, japo hawajaweza kuziba pengo la uzalishaji. Hilo, linalazi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wakulima wahimizwa kuepuka pembejeo feki za kilimo

Kwa mara nyingine tena wakulima katika eneo la Nyanza wamepokea hamasisho kuhusu namna ya kukabiliana na pembejeo feki. Hatua hii inalenga kuwaepusha na hasara zinazotokana na u...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Kilio cha mawakala wanavyopigwa

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Wakulima wa ufuta Songwe waingiza Sh3 bilioni mnada wa kwanza

Wakulima wa ufuta katika Mkoa wa Songwe wameingiza zaidi ya Sh3 bilioni kwenye mnada wa kwanza wa ufuta wa msimu wa biashara wa 2026/27 uliofanyika Ijumaa, Mei 8, 2026.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Bunifu za kilimo zilivyotuza vijana hawa

WAKATI vijana wengi wakikimbilia ajira za mijini, kundi la wabunifu wa teknolojia ya kilimo nchini sasa linaonyesha kuwa sekta ya kilimo inaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato, aji...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Mwelekeo mpya bei ya Cocoa

Wakati matumaini yakirejea kwa wakulima wilayani Kyela kufuatia bei ya cocoa kupanda, wadau na Serikali wametaja mikakati na mipango kuhakikisha zao hilo linaendelea kupaa, huku wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Umekanishaji unavyobadilisha sura ya kilimo Kenya

KWA miaka mingi, wakulima Kenya wamekuwa wakitegemea majembe ya mikono na nguvu zao wenyewe kuendeleza shughuli za kilimo. Kuanzia kupanda, kupalilia, kunyunyizia mimea dawa ha...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wakulima wa kahawa watakiwa kuachana na kilimo cha mazoea

Serikali imewataka wakulima wa kahawa nchini kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake kuzingatia kilimo cha kisasa chenye tija ili kuongeza uzalishaji, kuboresha ubora wa kahaw...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wajumbe wa Bodi ya Kahawa wafanya ziara Kagera, wahimiza soko la ushindani

Wajumbe wa bodi ya Kahawa wametembelea kiwanda cha kuchakata kahawa cha Amimza kinachozalisha takribani tani 18,000 ya zao hilo.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Ukuzaji nduma unavyoweza kuondoa mkulima kutoka lindi la umaskini

MWAKA 2018, Sammy Momanyi, 38, alirejea nyumbani kwao kijijini Mwamaranga-Rikendo, eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii kutoka eneo la Naivasha alikokuwa ameajiriwa kazi...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Wakaangaji wa kahawa wataka bidhaa hiyo kuwekwa nembo ya 'Made in Tanzania'

Wakaangaji wa kahawa nchini wameiomba Serikali kuhakikisha kahawa inayouzwa katika masoko mbalimbali ya kimataifa inawekwa nembo ya “Made in Tanzania” kwa lengo la kuitangaza zaidi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /4 days ago

Sababu za wakulima Nyanza kuonywa kuhusu pembejeo feki

Wakulima katika eneo la Nyanza wameendelea kuonywa kuhusu hatari ya kutumia pembejeo feki, hatua inayolenga kuokoa maelfu ya wakulima dhidi ya hasara za kiuchumi na kuporomoka kwa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Wawakilishi waikalia kooni Wizara ya Kilimo, wakiitaka kutumia teknolojia

Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27 kutekeleza miradi 10 ya maendeleo, wajumbe wa Baraza la W...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Wakulima Simiyu wataka mbegu zinazohimili mabadiliko ya tabianchi

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa baadhi ya mbegu zilizoboreshwa zina uwezo wa kuhimili ukame, magonjwa pamoja na kuongeza mavuno kwa hekta, huku aina kadhaa zilizofanyiwa utafiti...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Mgomo wa matatu dhidi ya mafuta ulivyonogesha biashara yake ya miwa

MGOMO wa wahudumu wa matatu ambao umesitishwa kwa muda wa siku saba ukiendelea, baadhi ya wachuuzi wa bidhaa za kula katika Kaunti ya Nairobi walitumia jukwaa hilo kuvuna hela. Mm...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

AI inavyomsaidia kukuza stroberi zinazovutia masoko ya hadhi ya juu

AKIWA ndani ya kivungulio chake Mwihoko, Kaunti ya Kiambu, Anthony Ngatia anasimama kando ya mistari ya mimea ya stroberi akiwa na simu mkononi—si kwa mazungumzo, bali kuchanganua...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mamcu yajitosa usafirishaji wa mizigo, yazindua mradi wa Sh1.2 bilioni

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao (Mamcu) kinachohudumia wakulima wa wilaya za Mtwara, Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara, kimezindua mradi wa magari ya kubebea mizigo wenye thamani...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Iringa yaandaa maonyesho ya kilimo kuwanufaisha wakulima

Mkoa wa Iringa umepanga kufanya maonyesho ya kilimo kuanzia Julai 13 hadi 19, 2026 katika viwanja vya Kihesa Kilolo ili kuinua sekta ya kilimo kwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya c...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wafugaji wa maeneo kame wabuni mbinu za kulinda mifugo dhidi ya ukame

KIANGAZI kikali kilichoshuhudiwa nchini kati ya mwaka 2021 na 2022 kiliacha majeraha makubwa kwa wakulima na wafugaji, hasa katika maeneo kame na nusu-kame (ASAL), huku mali ya mab...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Wakulima

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source