Watumishi saba Geita kizimbani kwa madai ya ubadhirifu
Ruge amebainisha kuwa makosa hayo ni kinyume na kifungu cha 28 (1) cha Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11 ya 2017.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Vita Dhidi Ya Ufisadi.
Fresh curated links around Vita dhidi ya ufisadi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Ruge amebainisha kuwa makosa hayo ni kinyume na kifungu cha 28 (1) cha Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11 ya 2017.
Serikali imesema pamoja na kuimarisha mifumo ya kisheria na kitaasisi ili kukuza uadilifu na kupambana na rushwa nchini, jukumu hilo linapaswa kusimamiwa na kila mmoja badala ya ku...
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Crispin Chalamila ameeleza kuwa uwazi, uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika kusimamia miradi ya maende...
Amesema maeneo yenye usimamizi wa moja kwa moja wa fedha na rasilimali za umma ndiyo yanapaswa kupewa kipaumbele zaidi katika ufuatiliaji wa maadili na uwajibikaji.
Soma hapa...
Soma zaidi hapa...
Rais wa ACFE Tanzania, Ali Mabrouk Juma, amesema dunia inakabiliwa na ongezeko la udanganyifu wa kisasa unaotumia teknolojia na mifumo ya kidijitali, hali inayohitaji ushirikiano w...
Soma hapa...
Soma zaidi hapa...
Soma zaidi...
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Kigoma imeitaka Serikali na makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Kijinai katika Matukio ya Ghasia za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mku...
Mahakama ya Zanzibar inaendelea kuboresha utoaji wa huduma zake kupitia matumizi ya Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa lengo la kuongeza uwazi, ufanisi na upatikanaj...
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mkoa wa Tanga, Ramadhan Manyeko, amesema miradi inayobainika kuwa na kasoro wakati wa ukaguzi wa Mwenge wa Uhuru inapaswa kuwajibisha wahusika ili kudhib...
Soma hapa...
MGOMBEA urais wa chama cha United Green Movement (UGM), David Maraga, ametoa wito kwa vyama vya upinzani kuungana kwa misingi ya maadili, utawala wa sheria na kuheshimu Katiba, aki...
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imewataka wadau wanaotoa elimu kutoka taasisi za Serikali na mashirika ya umma kuzingatia weledi, ukweli na uwajibikaji katika utoaji wa...
Soma zaidi...
Soma hapa...
TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imewaonya viongozi wanaoweka picha, majina na alama zao za kisiasa kwenye miradi inayofadhiliwa kwa fedha za umma kuwa wanahatarisha...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesisitiza kuwa mafanikio ya mfumo wa utoaji haki haupaswi kutegemea teknolojia pekee, bali unahitaji misingi imara ya uadilifu, uwajibikaji na...
Soma zaidi...
Amesema udhaifu wa usimamizi pamoja na vitendo vya rushwa vinaweza kusababisha miradi kujengwa chini ya viwango, kuongezeka kwa gharama zisizo za lazima, kuchelewa kukamilika kwa m...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.