Bunifu za kilimo zilivyotuza vijana hawa
WAKATI vijana wengi wakikimbilia ajira za mijini, kundi la wabunifu wa teknolojia ya kilimo nchini sasa linaonyesha kuwa sekta ya kilimo inaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato, aji...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Vijana Wenye Bunifu Za Kilimo.
Fresh curated links around Vijana wenye bunifu za kilimo are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
WAKATI vijana wengi wakikimbilia ajira za mijini, kundi la wabunifu wa teknolojia ya kilimo nchini sasa linaonyesha kuwa sekta ya kilimo inaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato, aji...
VIJANA wengi wanapofuzu kutoka vyuoni humu nchini, maombi yao huwa ni wapate kazi katika nyanja walizozisomea ndiposa wakubali kuwa wamepata ufanisi katika masomo yao. Ni nadra sa...
KWA miaka mingi, wakulima Kenya wamekuwa wakitegemea majembe ya mikono na nguvu zao wenyewe kuendeleza shughuli za kilimo. Kuanzia kupanda, kupalilia, kunyunyizia mimea dawa ha...
Soma zaidi...
TAKRIBAN kilomita tatu kutoka barabara ya Elburgon-Njoro, tulifika kwenye mpaka wa mashamba ya Tegat na Nyakiambi katika Kaunti Ndogo ya Molo ambapo Susan Wairimu hukuza pilipili h...
AKIWA ndani ya kivungulio chake Mwihoko, Kaunti ya Kiambu, Anthony Ngatia anasimama kando ya mistari ya mimea ya stroberi akiwa na simu mkononi—si kwa mazungumzo, bali kuchanganua...
ANTHONY Ngatia, mkulima barobaro kutoka Kaunti ya Kiambu, amekuwa akikuza stroberi tangu mwaka 2024, na kuifanya matunda hayo kuwa chanzo chake kikuu cha mapato. Kwa muda, mkulima...
Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa baadhi ya mbegu zilizoboreshwa zina uwezo wa kuhimili ukame, magonjwa pamoja na kuongeza mavuno kwa hekta, huku aina kadhaa zilizofanyiwa utafiti...
Wakati pazia la shindano la wazo bora la kiuchumi lililopewa jina la ‘Vijana Uchumi Challenge’ likiwa limefunguliwa, vigezo vya kushiriki vimewekwa wazi, huku mshindi akitarajiwa k...
TULIPOMTEMBELA Judith Munyasa katika kijiji cha Nzoia A, Kaunti ya Bungoma, tulimpata akikagua viazi alivyovuna siku chache zilizopita. Pamoja na wanawe, Judith, aliyejaaliwa wa...
Mkoa wa Iringa umepanga kufanya maonyesho ya kilimo kuanzia Julai 13 hadi 19, 2026 katika viwanja vya Kihesa Kilolo ili kuinua sekta ya kilimo kwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya c...
Serikali imewataka wakulima wa kahawa nchini kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake kuzingatia kilimo cha kisasa chenye tija ili kuongeza uzalishaji, kuboresha ubora wa kahaw...
Umewahi kujiuliza kwa nini watoto wengi wanalalamikiwa kwa kukosa ubunifu?
Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27 kutekeleza miradi 10 ya maendeleo, wajumbe wa Baraza la W...
Ili kuwafanya watoto wajiamini, wawe wadadisi wa mambo pamoja na kuwaandalia mazingira bora ya ajira baadaye, wazazi na walezi wametakiwa kuwekeza katika ujuzi mbalimbali walionao...
VITUNGUU ni kati ya mimea inayochukua muda mfupi kukomaa inayokuzwa na wakulima wengi nchini hasa wenye chanzo cha maji, japo hawajaweza kuziba pengo la uzalishaji. Hilo, linalazi...
Licha ya wanawake kuchangia karibu asilimia 40 ya nguvu kazi ya kilimo duniani na kuwa na mchango mkubwa nchini Tanzania, bado wanakabiliwa na changamoto za kimfumo, zikiwemo umili...
JUNCAO ni teknolojia mpya ya nyasi za mifugo ambayo taifa likiikumbatia kikamilifu huenda itaipa sekta ya ufugaji Kenya afueni hasa kipindi hiki bei ya malisho inazidi kuwa ghali....
Wabunge wametaka njia rahisi ya upataji mikopo kwa vijana ikiwemo unafuu wa masharti, dhamana, usimamizi, kutokuundwa kwa vikundi pamoja na utolewaji wa elimu.
KWA miaka mingi, ukame, mvua zisizotabirika na upotevu wa mifugo vimekuwa vikitatiza maeneo kame na nusu-kame (ASAL) nchini. Lakini simulizi hiyo inaanza kubadilika. Badala ya...
Wakati matumaini yakirejea kwa wakulima wilayani Kyela kufuatia bei ya cocoa kupanda, wadau na Serikali wametaja mikakati na mipango kuhakikisha zao hilo linaendelea kupaa, huku wa...
WADI za Ibeno na Keumbu katika eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii ni maarufu sana katika ukuzaji wa miwa ya kutafuna. Unapozuru maeneo hayo kwa mara ya kwanza, utakari...
Mara zote ubunifu hufanyika pale ambapo unataka kurahisisha ufanyaji wa kazi fulani, wakati mwingine bila kujua hatua hii inaweza kusaidia maelfu ya watu na kuboresha huduma za jam...
Kwa mara nyingine tena wakulima katika eneo la Nyanza wamepokea hamasisho kuhusu namna ya kukabiliana na pembejeo feki. Hatua hii inalenga kuwaepusha na hasara zinazotokana na u...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.