Latest updates for Uzalishaji Kwenye Kilimo

Fresh curated links around Uzalishaji kwenye kilimo are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Zanzibar inavyoanza kujitegemea uzalishaji wa nyama, mboga na viungo
  • Wadau: Simu janja ni ‘trekta’ mpya kwenye kilimo
  • Mbeya yageukia mapinduzi ya kilimo cha shayiri, uzalishaji malighafi za viwandani

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

mwananchi.co.tz /1 month ago

Zanzibar inavyoanza kujitegemea uzalishaji wa nyama, mboga na viungo

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutekeleza mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo na mifugo, hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa kuagiza mazao na bidhaa za mifu...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wadau: Simu janja ni ‘trekta’ mpya kwenye kilimo

Wadau wa kilimo wametaja simu janja kuwa nyenzo muhimu ya kuifanya sekta ya kilimo kuinua uchumi wa mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mbeya yageukia mapinduzi ya kilimo cha shayiri, uzalishaji malighafi za viwandani

Serikali imeanza utekelezaji wa mkakati wa kuifanya Wilaya ya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji wa shayiri nchini kwa kusambaza zaidi ya tani 10 za mbegu bora kwa wakulima kwa ruzuk...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Umeme, masoko, barabara na pembejeo feki kilio cha wakulima Kusini

Soma zaidi hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Sababu Tanzania kusisitiza uzalishaji mbolea, nishati

Tanzania inapigia chapuo uwekezaji kwenye uzalishaji wa mbolea ili kupunguza matumizi ya fedha zinazotumika kuagiza bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Mashine hii mahuluti inafanya shughuli kibao shambani kuwa rahisi

KILIMO cha usahihi [Precision Agriculture kwa Kimombo] kinaendelea kupata nguvu barani Afrika huku teknolojia zake za utekelezaji zikinuia kuwasaidia wakulima wadogo kuongeza kiwan...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Afrika yatakiwa kuwekeza zaidi kwenye ubunifu wa kilimo

AFRIKA inapaswa kuendelea kuwekeza katika ubunifu wa kilimo na kuharakisha matumizi ya teknolojia zilizothibitishwa ili kuongeza kiwango cha uzalishaji wa chakula, kupunguza uagiza...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wizara ya Fedha yatakiwa kuondoa VAT kwenye mitambo na mashine za uchakataji mazao

WIZARA ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo inaendelea na mazungumzo na Wizara ya Fedha na Hazina ya Kitaifa ili kuondoa ushuru (VAT) kwenye mitambo ya uchakataji na uongezaji thamani...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Serikali: Wakulima wazalishe kwa kuzingatia mahitaji ya soko

Serikali imewataka wakulima, wafugaji na wavuvi nchini kubadili mfumo wa uzalishaji kwa kuanza kutafuta taarifa za mahitaji ya soko kabla ya kuanza uzalishaji, ikisema utaratibu wa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mfumo wa kidijitali kufungua masoko ya mikunde

Wakulima wa mazao ya jamii ya mikunde nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa kidijitali utakaowaunganisha na wanunuzi, wafanyabiashara na wadau wa sekta hiyo, huku ukiwawez...

Read source
allafrica.com /1 week ago

Tanzania Achieves Record Domestic Seed Production, Reduces Dependency, Supports Sustainable Agriculture Growth

[Daily News] Dar es Salaam -- Recent statistics from Tanzania's Ministry of Agriculture for the 2023/2024 season reveal a significant shift in seed production and utilization.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Ileje kuja na mkakati ujenzi masoko ya kisasa kuimarisha kilimo

Serikali ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe imepanga kuja na mkakati wa ujenzi wa masoko ya kisasa ya mazao pamoja na kuimarisha mfumo wa ushirika, lengo likiwa ni kuongeza thamani y...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Bei ya mahindi yaanza kupanda baada ya mavuno duni Bonde la Ufa

BEI ya mahindi imepanda kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya Bonde la Ufa kutokana na mavuno duni yaliyosababishwa na mvua isiyotabirika. Hali hii inazua hofu ya ongezeko zaidi la...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kanuni zinazokwamisha ubunifu wa kilimo Afrika

AFRIKA haina upungufu wa teknolojia za kilimo zinazoweza kusaidia wakulima kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Kuanzia mbegu za mahindi zinazostahimili ukame, nga...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Faida za nishati ya jua katika kilimo

KWA wakulima wanaotumia mfumo wa umwagiliaji maji mashamba na mimea kwa kutumia mifereji, gharama ya nishati inaweza kuwa kikwazo kikubwa katika kuongeza uzalishaji na faida. H...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wakulima walalamikia mifugo kulishwa mazao yao mashambani

Wakulima katika Kitongoji cha Sanya Line A, Kijiji cha Mabogini, Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kukithiri kwa vitendo vya uvamizi wa mifugo katika mashamba yao, tatizo wal...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Hivi hapa vikwazo wanawake kushindwa kushiriki kilimo

Licha ya mwamko unaopatikana kwa wanawake kushiriki katika kilimo, ukosefu wa ardhi, nyenzo, teknolojia na masoko ni miongoni mwa vikwazo vimetajwa kuwarejesha nyuma kushiriki kili...

Read source
mwananchi.co.tz /6 hours ago

Baridi, mabadiliko ya tabianchi yapandisha bei ya mbogamboga

Baridi kali inayohusishwa na mabadiliko ya tabianchi imetajwa kuathiri ukuaji katika uzalishaji wa mbogamboga, hali inayo changia kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo na kuwaweka walaji...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Kilimo cha pamba si cha Kubahatisha-Mwanri

Balozi wa Pamba Tanzania, Agrey Mwanri amewataka wakulima kuachana na utaratibu wa kurusha mbegu ovyo mashambani na badala yake kuzingatia kanuni za kilimo bora ili kuongeza uzalis...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Mpango wa chakula cha mifugo kupunguza gharama za uzalishaji

KUPUNGUZA gharama ya chakula cha mifugo, kuongeza uzalishaji wa ndani kwa ndani wa malighafi na kutumia teknolojia mpya, ni miongoni mwa mikakati inayolenga kuongeza uzalishaji wa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Himizo kilimo cha kuhifadhi afya ya udongo na nishati ya jua kuunganishwa ili kupunguza gharama

MABADILIKO ya tabianchi yanaendelea kubadilisha kwa kasi mifumo ya kilimo nchini Kenya, huku misimu ya mvua na ukame ambayo wakulima walitegemea ikizidi kuwa isiyotabirika. Uka...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Kagwe asema nchi haitalemewa na njaa licha ya mabadiliko ya tabianchi

SERIKALI inapanga mikakati ya kuwasaidia wakulima kukabiliana na athari za ukame huku kipindi kirefu cha kukosekana kwa mvua kikitishia uzalishaji wa mahindi katika baadhi ya maene...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Kibano ufungaji holela ving’ora, vimulimuli

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Kiini kupanda kwa bei ya sukari chaanikwa

Hali hiyo imeongeza gharama za maisha na kupunguza uwezo wa wananchi kununua bidhaa hiyo muhimu.

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Uzalishaji Kwenye Kilimo

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source