Latest updates for Utunzaji Wa Ndama

Fresh curated links around Utunzaji wa ndama are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • UFUGAJI: Mtindo wa kisasa wa kutunza ndama anapozaliwa kuzuia vifo na maradhi
  • Mimea vamizi yaathiri maeneo ya malisho nchini
  • Wafugaji wa maeneo kame wabuni mbinu za kulinda mifugo dhidi ya ukame

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

UFUGAJI: Mtindo wa kisasa wa kutunza ndama anapozaliwa kuzuia vifo na maradhi

HARAKATI za ufugaji, zinamhitaji mfugaji wa ng'ombe kutumia utaratibu na kanuni bora ili kutengeneza kizazi kizuri cha mifugo wake kwa siku zijazo. Harakati hizi zinajumuisha pia...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mimea vamizi yaathiri maeneo ya malisho nchini

Jamii za kifugaji zimetakiwa kuboresha usimamizi wa malisho ili kufufua afya ya nyanda za malisho na kupunguza kiwango cha hewa ukaa angani.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wafugaji wa maeneo kame wabuni mbinu za kulinda mifugo dhidi ya ukame

KIANGAZI kikali kilichoshuhudiwa nchini kati ya mwaka 2021 na 2022 kiliacha majeraha makubwa kwa wakulima na wafugaji, hasa katika maeneo kame na nusu-kame (ASAL), huku mali ya mab...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Usalama wa nyama hatarini, machinjio ya Kisakasaka Z’bar

Wafanyabiashara na wataalamu wa mifugo wamesema machinjio yanayotumiwa kwa sasa ya Kisakasaka Mkoa wa Mjini Magharibi hayafai kwa ajili ya usalama na afya za watumiaji, hivyo wamei...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wafugaji Simiyu wahimizwa kuwekeza katika mashamba ya malisho

Wakati changamoto ya uhaba wa malisho ikiendelea kuathiri uzalishaji wa mifugo, Serikali na wadau wake wameibuka na mkakati mpya wa kuhamasisha wafugaji kuanzisha mashamba ya malis...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Bei ya nyama yapanda maradufu wateja nao wakipotea na kuacha wenye bucha matatani

BEI ya nyama ya ng’ombe nchini imepanda kwa kiasi kikubwa katika miezi ya hivi karibuni, huku kilo moja ikiuzwa sasa kati ya Sh750 na Sh900 katika masoko na maduka ya nyama, kutoka...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Maoni kinzani ongezeko la nauli

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Jinsi ya kulima nyasi ya Juncao

JUNCAO ni teknolojia mpya ya nyasi za mifugo ambayo taifa likiikumbatia kikamilifu huenda itaipa sekta ya ufugaji Kenya afueni hasa kipindi hiki bei ya malisho inazidi kuwa ghali....

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Hatari wanaume kuamka ‘jogoo’ kalegea

Soma zaidi hapa,,,

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Ufugaji wa viwandani unavyochochea athari za tabianchi

UFUGAJI wa wanyama kwa wingi katika eneo ndogo maarufu kama factory farming, unazidi kulaumiwa kwa kuchangia mabadiliko ya tabianchi, uharibifu wa bioanuwai (biodiversity) na afya...

Read source
mwananchi.co.tz /3 days ago

Idd ilivyobeba mambo manne

Soma zaidi...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Hatari ya kupanda malori ya mizigo

Soma hapa...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wabunge waja juu kuhusu fidia athari za wanyama, wizara yataja mikakati

Kilio cha fidia kwa wananchi wanaopisha maeneo ya hifadhi kimeibua mjadala bungeni, huku wabunge wakitaka Serikali kueleza ni kwa nini imekuwa chanzo cha migogoro isiyokuwa na tija...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Suala la malezi na namna linajitokeza katika ‘Nguu za Jadi’

LEO tutaangazia baadhi ya maswali likiwemo suala la malezi kwa kurejelea dondoo lifuatalo. “Wazazi waliasa, ‘Nguo ya kuomba haisitiri makalio.’ Alifunzwa kutotumia sifa za kike a...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Kutoboa kitovu, ulimi urembo wenye majuto, tahadhari za kiafya

Soma zaidi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

‘Nyama ya bata ni tamu’: Jinsi ufugaji wa mabata unalipa ukifanywa vyema

SUSAN Wairimu Kamau, ni mfugaji mabata aina ya Muscovy katika eneo la Elburgon, Kaunti ya Nakuru. “Mwaka wa 2020, nilishawishiwa kuanza kilimo hiki cha kufuga mabata na rafiki yan...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mbuzi mwenye jinsi mbili azua taharuki Geita

Mmiliki wa mbuzi huyo, Catherine Kachwele, mkazi wa eneo hilo, amesema alijikuta katika hali ya sintofahamu baada ya kugundua kuwa mbuzi aliyopewa kama zawadi ana jinsia mbili.

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Wananchi walalama soko la Ndala kugeuka makazi ya popo

Zaidi ya miaka 10 tangu kuanza kwa ujenzi wa Soko la Ndala kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), wananchi wa kata hiyo wameibuka na kilio kipya wakiiomba Serikali kulinusuru...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Ni zamu ya Aweso, Profesa Mkenda na Makonda

Soma zaidi hapa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Biashara haramu ya nyama ya punda yaendelea licha ya marufuku

BIASHARA haramu ya nyama na ngozi za punda imeendelea kushamiri nchini licha ya serikali kupiga marufuku uchinjaji kibiashara wa wanyama hao mwaka wa 2020. Katika tukio la hivi ka...

Read source
mwananchi.co.tz /2 weeks ago

Ishu ya mabaunsa, Serikali yatoa msimamo

Soma hapa....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Nyasi ya miujiza inavyobadili maisha ya wafugaji na wakulima wakati wa ukame

KADRI athari za mabadiliko ya tabianchi zinavyozidi kushika kasi kuanzia ukame wa muda mrefu hadi mafuriko, wadudu na magonjwa, wakulima na wafugaji nchini Kenya wanalazimika kubad...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Namna suala la ubabedume limeangaziwa katika riwaya ya ‘Nguu za Jadi’

JUMA hili tunaangazia taasubi za kiume kwa kurejelea dondoo lifuatalo: “Nyinyi mna maswali mengi. Si mngoje kwanza nimalize kusimulia halafu mniulize maswali?” (a) Eleza muktadha...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Maziwa ya ngamia: Hadithi ya ‘dhahabu nyeupe’ ya mama Zamzam

KAUNTI ya Laikipia ikiwa miongoni mwa maeneo ambayo athari za tabianchi zinaendelea kutatiza mifumo ya jadi ya ufugaji, mabadiliko makubwa yanaibuka kimya kimya yakiongozwa na ngam...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Utunzaji Wa Ndama

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source