RC Mara atoa maelekezo haya kwa Jeshi la Polisi
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea, jambo ambalo amesema limekuwa likisababisha jamii kupata bughudha na usumbufu bila saba...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Ukatili Wa Polisi.
Fresh curated links around Ukatili wa polisi are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Kanali Mtambi amesema kumekuwepo na tabia ya polisi kuchukua hatua baada ya uhalifu kutokea, jambo ambalo amesema limekuwa likisababisha jamii kupata bughudha na usumbufu bila saba...
Soma zaidi...
Soma hapa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limekamata jumla ya watuhumiwa 209 katika operesheni na misako mbalimbali iliyolenga kuimarisha usalama wa raia na mali kati ya Aprili 1 had...
Jeshi la Polisi likiwashikilia watuhumiwa wawili kwa tuhuma za kuwafanyia ukatili watoto katika familia zao.
Soma zaidi...
Jeshi la Polisi jijini Mwanza linawashikilia watu 61 kwa tuhuma za kujihusisha na matumizi na biashara ya dawa za kulevya, kukiuka masharti ya leseni za biashara, pamoja na kupatik...
Soma hapa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa 53 wanaodaiwa kujihusisha na vitendo mbalimbali vya uhalifu, kufuatia operesheni maalumu iliyoanza Aprili 1, 2026.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara limewakamata watu 19 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo ulawiti na kujihusisha na dawa za kulevya, kutokana na operesheni, doria na misako iliyofanyika...
SAFARI ya kilomita 45 ya Dishan Angoya kutoka Thika Aprili 30, 2026 ilionekana kuwa kilele cha juhudi zake za kazi alipoteuliwa kusimamia moja ya vituo vikubwa na vyenye shughuli n...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa ametangaza operesheni maalumu na isiyo na ukomo dhidi ya wahalifu wanaojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na matuk...
Jamhuri imefanya mabadiliko katika hati ya mashtaka kwenye kesi ya kughushi vibali/leseni za kumiliki silaha, kwa kuongeza mashtaka 16 mapya, yakiwemo ya kukutwa na mihuri ya kughu...
MAAFISA wa polisi Lamu na Pwani wameamriwa kuwapiga risasi na kuwaua wahalifu wa magenge ya mapanga na visu, maarufu Panga Boys. Akizungumza wakati wa kikao cha baraza la usalama...
KUTOAMINIANA na hujuma vilichochea mvutano ndani ya Kitengo cha Ulinzi wa Rais hali iliyosababisha mzozo kati ya maafisa wa polisi wa ngazi za chini na wakuu wao na hatimaye kuleta...
Serikali ya Amerika imempiga marufuku afisa mmoja mkuu wa polisi wa Tanzania na watu wengine w kutokana na madai ya kuwazuilia kinyume cha sheria, kuwatesa na kuwafanyia unyanyas...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watuhumiwa 69 wanaohusishwa na makosa mbalimbali baada ya kufanya operesheni maalumu katika maeneo tofauti ya mkoa huo.
Uwepo wa kampuni bubu za ulinzi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kunaelezwa kuendelea kuchochea uhalifu katika maeneo mbalimbali wakati ambapo jeshi la polisi likipambana kuhakikis...
MAAFISA wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wameelekeza uchunguzi wao kwenye simu za mkononi na taarifa za benki zilizopatikana kutoka kwa washukiwa wanne walioka...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kumtapeli zaidi ya Sh40 milioni mjane Fatuma Nassoro mkazi wa Kaliua mkoani Tabora.
TAHARUKI ilitanda katika mji wa Garissa baada ya wakazi kuandamana kulalamikia walichotaja kuwa ukatili wa polisi kufuatia kifo cha kijana mmoja dereva, Aden Mohamed Hassan. Hassa...
BW Samuel Wanyoike alikuwa tu ameajiriwa na Huduma ya Polisi wa Utawala mnamo Julai 2007 na kutumwa Garbatulla, Kaunti ya Isiolo. Mojawapo ya majukumu yake ya mwanzo ya ulinzi ili...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, linawashikilia watu 10 wakidai kuchukuliwa nyeti zao na kusababisha madhara makubwa kwa watu waliowatuhumu.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia wanawake wanne kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi zenye uzito wa kilo 129.
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.