Pesa zakauka na kuhatarisha kukwama kwa bwawa linalosubiriwa kwa hamu la Mwache
UJENZI wa mradi wa bwawa la Mwache wa Sh20 bilioni unakabiliwa na matatizo ya kifedha ambayo yanahatarisha kukwamisha kukamilika kwa mradi huo kwa wakati uliopangwa. Bwawa hilo le...