Latest updates for Uchaguzi Mdogo Wa Ol Kalou

Fresh curated links around Uchaguzi mdogo wa Ol Kalou are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Kindiki, Gachagua na Matiang’i sasa kupimana nguvu uchaguzini Ol Kalou
  • Uhuru, Gachagua kupimana nguvu katika uchaguzi mdogo Ol Kalou
  • Jinsi DCP ilifaulu kupata idadi kubwa ya wapigakura mchujo wa Ol Kalou

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kindiki, Gachagua na Matiang’i sasa kupimana nguvu uchaguzini Ol Kalou

UCHAGUZI mdogo wa eneobunge la Ol Kalou unaonekana kama kipimo kikuu cha mwelekeo wa kisiasa wa ukanda wa Mlima Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Uchaguzi huo utakaofanyika Ju...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Uhuru, Gachagua kupimana nguvu katika uchaguzi mdogo Ol Kalou

UCHAGUZI mdogo wa eneobunge la Ol Kalou ambao umeratibiwa kufanyika Julai 16 umefichua mvutano unaozidi kuongezeka kati ya chama cha Jubilee, kinachohusishwa na Rais mstaafu Uhuru...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Jinsi DCP ilifaulu kupata idadi kubwa ya wapigakura mchujo wa Ol Kalou

Mshindi katika mchujo wa DCP Sammy Ngotho alijipatia kura 12,957 ikilinganishwa na mshindi wa UDA Samuel Muchina aliyepata kura 3,221.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Hofu mgawanyiko wa upinzani utapatia UDA ushindi Ol Kalou

HATUA ya chama cha Jubilee kusimamisha mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou unaotarajiwa Julai imeonekana kutikisa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP),...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Gachagua, Matiang’i kung’ang’ania kiti cha eneobunge la Ol Kalou

SIASA za ngome ambazo zimekuwa zikizua utata ODM sasa zimehamia upinzani huku mirengo miwili ikilaumiana kuhusu uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Hata kabla ya Spika wa Bunge la Kitai...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

UDA yaweka mchujo wa Ol Kalou Ijumaa kuepuka mvurugano na DCP

CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimebadilisha tarehe ya mchujo wa kuteua mgombea wa kiti cha ubunge wa Ol Kalou kutoka Jumamosi Mei 9 hadi Ijumaa Mei 8, hatua iliyowalaz...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Uhasama watokota tena kati ya DCP na Jubilee kuhusu Ol Kalou

UHASAMA wa kisiasa unazidi kutokota kati ya Jubilee na DCP baada ya vyama hivyo viwili kusema vitakuwa na mgombeaji kwenye uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Baada ya DCP kuandaa mchujo...

Read source
kenyans.co.ke /3 weeks ago

Late MP Kiaraho’s Aide Wins UDA Ticket for Ol Kalou By-Election

The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has officially scheduled the Ol Kalou by-election for Thursday, July 16, 2026.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ruto na Gachagua kupimana nguvu tena uchaguzi mdogo

RAIS William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua wanatarajiwa kukabana koo tena kisiasa huku uchaguzi mdogo wa eneobunge la Emurua Dikirr mnamo Mei 14 ukikaribia. Kiny...

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

10 Aspirants Eye UDA Ticket for Ol Kalou By-election

UDA has already run similar elections successfully in 25 counties across the country, even with zoning wrangles with ODM, in the broad-based arrangement that keeps brewing.

Read source
kenyans.co.ke /3 weeks ago

UDA Sets New Date for Ol Kalou Party Nominations

The Ol Kalou constituency nominations for UDA have been rescheduled to a day earlier than originally planned.

Read source
kenyans.co.ke /1 month ago

IEBC Sets Date for Ol Kalou By-Election After Seat is Declared Vacant

The seat fell vacant after the death of MP David Njuguna Kiaraho, who passed away in Nairobi while receiving treatment.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Wanne wajeruhiwa katika ghasia za uchaguzi Emurua Dikirr

WATU wanne walijeruhiwa baada ya wafuasi wa Chama cha United Democratic Alliance (UDA) na Democracy for Citizens Party (DCP) kuvurugana katika uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr uliof...

Read source
kenyans.co.ke /2 weeks ago

Former UDA Politician Wins DCP Ticket for Ol Kalou By-Election

He was the 2022 UDA aspirant for Ol Kalou constituency before defecting to Gachagua's camp after his impeachment in 2024.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Aladwa ataka ODM iachiwe kiti cha ugavana Nairobi 2027

MBUNGE wa Makadara George Aladwa sasa anataka UDA iachie ODM kiti cha ugavana wa Nairobi akitaka suala hilo lijumuishwe kwenye muafaka kati ya vyama hivyo viwili kuelekea uchaguzi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Siku ya mwisho kampeni Emurua Dikirr Dollarine akipambana na Vincent, almaarufu ‘Pinceent’

WAGOMBEAJI wanaosaka kuungwa na wapigakura 44,447 katika uchaguzi mdogo wa eneobunge la Emurua Dikirr, Kaunti ya Narok, wamesalia na leo pekee kufanya kampeni. Uchaguzi huo mdogo...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

ODM kujipima nguvu kwa mara ya kwanza bila Raila

CHAMA cha Orange Democratic Movement kimeanzisha mikakati ya ndani ya kujitathmini kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 huku kukiwa na wasiwasi kuhusu mustakabali wake bila kiong...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Jinsi Gachagua alivyomkaba koo Rais Ruto kwenye uchaguzi mdogo Emurua Dikirr

KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizns Party (DCP), Rigathi Gachagua aliweza kupenya katika ngome ya kisiasa ya aliyekuwa mkubwa wake Rais William Ruto katika uchaguzi mdogo w...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Hatutachezea uteuzi chamani ODM tena, Oburu ahakikishia wafuasi

KIONGOZI wa ODM, Dkt Oburu Oginga ametangaza kuwa mara hii chama hicho kitaandaa uteuzi wa haki na huru wala hakuna atakayependelewa kutokana na ukuruba wake na uongozi wa chama....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

SIASA: Mvutano viongozi wakionya ODM kuhusu tikiti ya ugavana Kisumu

BAADHI ya viongozi wa ODM kutoka Kaunti ya Kisumu wameonya chama hicho kwamba hawatakubali demokrasia ya maafikiano katika kinyang’anyiro cha ugavana mnamo 2027, wakisisitiza kuwa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

SOKOMOKO: Mbunge Kaluma ajiteua nyapara wa boma isiyo yake

MBUNGE wa Homa Bay Town, Peter Kaluma, alijitwika nyapara wa boma isiyo yake kwa wito wake wa kutaka Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, aondolewe mara moja katika wadhifa wake akasah...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Upinzani sasa waahidi bonge la maandamano ya kupinga ‘utawala mbaya’

WAKENYA wametakiwa kujiandaa kwa wimbi jipya la maandamano kuanzia Juni 25, viongozi wa upinzani Kalonzo Musyoka na Rigathi Gachagua wamesema, wakisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kalonzo arai ngome yake isimwangushe: ‘Chukueni kura niweze kuwa ‘The 6th”

KIONGOZI wa Wiper Patriotic Front Kalonzo Musyoka ameongeza kasi ya kampeni zake katika eneo la Ukambani kwa kuwahimiza wakazi kujitokeza kwa wingi kujisajili kama wapiga kura, aki...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Riggy G, Kindiki wapondana kuhusu uchaguzi mdogo

ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua ameongeza makali ya siasa kwa kumshambulia Naibu Rais Kithure Kindiki, akimtaja kama kiongozi asiye na msimamo na anayefuata kila agizo la Rai...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Uchaguzi Mdogo Wa Ol Kalou

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

kenyans.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source