Vita mgombea mwenza wa Ruto kuelekea uchaguzi mkuu 2027
Wakati Kenya ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, mjadala kuhusu nani atakuwa mgombea mwenza wa Rais William Ruto umeanza kuibua mvutano ndani ya vyama vya United Democratic...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Uchaguzi Mkuu Wa 2027.
Fresh curated links around Uchaguzi Mkuu wa 2027 are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Wakati Kenya ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, mjadala kuhusu nani atakuwa mgombea mwenza wa Rais William Ruto umeanza kuibua mvutano ndani ya vyama vya United Democratic...
TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) imeweka wazi ratiba muhimu itakayoongoza maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti 10, 2027, huku wanasiasa wakianza mapema kampeni...
TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imeingia katika awamu muhimu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027 huku ikiwa na chini ya mwaka mmoja kuhakikisha changamoto zilizopo zinata...
UCHAGUZI Mkuu wa 2027 unatarajiwa kuwa ghali zaidi katika historia ya Kenya, huku makadirio yakionyesha kuwa serikali, vyama vya kisiasa na wagombea watatumia zaidi ya Sh272 bilion...
MAHAKAMA Kuu imesema uchaguzi ujao wa urais nchini ulifaa kufanyika Agosti 2026, badala ya 2027, lakini imekataa kuamuru uchaguzi huo uandaliwe mara moja ikisema hatua hiyo inaweza...
UCHAGUZI mkuu wa mwaka wa 2027 unavyokaribia, siasa za Kenya zinashuhudia mwelekeo mpya ambapo baadhi ya viongozi waliochaguliwa wanaonekana kuwa tayari kuacha nyadhifa walizo nazo...
BUNGE la Kenya linakabiliwa na kibarua kigumu cha kupitisha kwa haraka sheria muhimu za uchaguzi, huku mapendekezo kadhaa yakikwama kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 10, 2027. Sp...
TUNAPOELEKEA Uchaguzi Mkuu wa 2027, vita muhimu havitakuwa tu kati ya wagombeaji na vyama vya kisiasa. Vitakuwa pia vita vya habari — kati ya ukweli, propaganda, upotoshaji na uwo...
KENYA inapoelekea uchaguzi mkuu wa 2027, tayari kuna ishara za hatari zinazoweza kuzua vurugu na kuzamisha nchi katika mzozo wa kisiasa, kiuchumi na kijamii. Vurugu katika mikutan...
ALIYEKUWA Waziri Moses Kuria ameibua mjadala kuhusu uchaguzi wa urais wa 2027 baada ya kutoa kauli tata kuhusu atakayeapishwa kuwa rais baada ya uchaguzi huo. Kuria, ambaye ni ki...
RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuongoza mkutano muhimu wa Baraza la Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Jumatatu, hatua inayotafsiriwa kama kurejea kwake katika siasa za...
Soma hapa...
KIKAO cha vinara wa upinzani kilichotarajiwa kutoa mwelekeo mpya wa kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2027 kilimalizika Kiambu Jumatatu bila kutatua baadhi ya masuala muhimu yanayotishi...
HATUA ya baadhi ya vyama kujipanga kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 imeanza kubadili mwelekeo wa vyama hivyo huku utafiti mpya ukionyesha kuwa umaarufu wa chama cha UDA na ms...
SERIKALI ya Rais William Ruto imeanza kuimarisha kampeni ya mawasiliano kwa umma kuhusu sera, miradi na mafanikio yake huku uchaguzi mkuu wa 2027 ukikaribia. Hatua hiyo inafuatia...
MAHAKAMA Kuu jijini Nairobi imekataa ombi la kuahirisha Uchaguzi Mkuu wa 2027 hadi Katiba ya 2010 ifanyiwe marekebisho makubwa, ikiwemo kutathmini mihula ya viongozi na kuundwa kwa...
RAIS William Ruto Jumapili alipuuzilia mbali wasiwasi unaozidi kushuhudiwa ndani ya muungano wake wa kisiasa, akisisitiza kuwa ushirikiano kati ya UDA na ODM uko imara na utaendele...
Malumbano ya kisiasa nchini Kenya yameendelea kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, baada ya Rais William Ruto kuwatuhumu baadhi ya wapinzani wake kuwa wanatumwa na “sponsor...
RAIS William Ruto na Kinara wa ODM Dkt Oburu Oginga jana walibuni kamati ya watu watano kutoka kila upande ili kuibuka na rasmi na manifesto ambayo watatumia kujivumisha kuelekea u...
KIONGOZI wa People's Party, Ndindi Nyoro amesema yuko tayari kuwania urais mwaka 2027 chini ya muungano wa upinzani, akisema ana uwezo wa kumshinda Rais William Ruto. Bw Nyo...
MWAKA mmoja kabla ya Wakenya kuelekea kwenye debe kuwachagua viongozi wao, ongezeko la magenge yanayotumiwa katika siasa limeibua hofu kuwa makundi hayo yanaweza kuhatarisha uchagu...
TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) inakabiliwa na pengo la Sh33.5 bilioni katika bajeti inayohitajika kuandaa na kuendesha uchaguzi mkuu wa 2027, huku mabadiliko ya kite...
CHAGUZI ndogo zimekuwa zikitumika kama kipimo cha hali ya kisiasa nchini, zikitoa ishara kuhusu mabadiliko ya msimamo wa wapigakura na nguvu za vyama kabla ya uchaguzi mkuu. Uch...
Soma zaidi...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.