Latest updates for Tuhuma Za Kupokea Sh1 Milioni Kumhonga Jaji

Fresh curated links around Tuhuma za kupokea Sh1 milioni kumhonga jaji are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Korti yakataa ombi la wakili la kutokamatwa kwa tuhuma za kupokea pesa za kuhonga jaji
  • Monica kortini akidaiwa kujipatia Sh60 milioni kwa udanganyifu
  • Anayedaiwa kutapeli Sh1.6 bilioni za Wachina adakwa Uganda

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Korti yakataa ombi la wakili la kutokamatwa kwa tuhuma za kupokea pesa za kuhonga jaji

MAHAKAMA Kuu Jumatatu, Aprili 20, 2026 ilikataa ombi la wakili jijini Nairobi, Kimani Wachira, la kuitaka itoe amri ya dharura ili asikamatwe kwa tuhuma za kupokea Sh1 milioni ili...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Monica kortini akidaiwa kujipatia Sh60 milioni kwa udanganyifu

Mshtakiwa ameshindwa kutimiza masharti ya dhamana hivyo amepelekwa rumande.

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Anayedaiwa kutapeli Sh1.6 bilioni za Wachina adakwa Uganda

Mtuhumiwa Stephane Ngoie, aliyekuwa akitafutwa kwa takribani miaka mitatu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), amekamatwa na kurejeshwa nchini kwa ajili ya kujib...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Mfanyabiashara kortini akidaiwa kujipatia Sh120 milioni kwa udanganyifu

Mfanyabiashara, Abdul Razak Ahmed (37) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kujipatia Sh120 milioni kwa njia ya udanganyifu.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mahakama yarejesha kesi ya fidia kwa Shose Sinare

Mahakama hiyo imeirejesha kesi hiyo baada ya Shose kushinda rufaa aliyoikata akipinga uamuzi wa Mahakama Kuu uliofuta kesi yake ya madai ya fidia ya Dola za Marekani 34 milioni, ak...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Watumishi wafikishwa mahakamani ubadhirifu fedha za mirathi Sh261 milioni

Mashauri matano ya uhujumu uchumi yamefunguliwa dhidi yao.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Kampuni kumlipa mfanyakazi aliyenyanyaswa na bosi wake Sh1.3m

MKURUGENZI Mkuu wa kampuni moja ya teknolojia jijini Nairobi amepatikana na hatia ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya mfanyakazi wake wa chini, baada ya mahakama kubaini kuwa ujumb...

Read source
thecitizen.co.tz /1 month ago

Sh6 billion Membe award annulled, witnesses to retake oaths

The Tanzania Court of Appeal has annulled part of the judgment in the defamation case in which former Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, the late Benard Mem...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Linet Toto aagizwa kumlipa mfanyakazi wake Sh1 milioni

MAHAKAMA ya Ajira na Leba imeagiza Mwakilishi wa Wanawake wa Bomet, Linet Chepkorir Toto, kumlipa aliyekuwa mfanyakazi wake karibu Sh1 milioni kwa kufutwa kazi kinyume cha sheria h...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Wanaodaiwa kuiibia benki Sh5.7 bilioni majadiliano kumaliza kesi

Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili washtakiwa tisa, wanaokabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni, umeieleza...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Watano mbaroni kwa tuhuma za kutapeli Sh40 milioni Tabora

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kumtapeli zaidi ya Sh40 milioni mjane Fatuma Nassoro mkazi wa Kaliua mkoani Tabora.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Matonya ahangaika kupata dhamana ya nusu milioni katika kesi ya ubakaji

MSANII wa Tanzania, Matonya, amekuwa akihangaika kupata dhamana ya Sh500,000 aliyowekewa na mahakama ya Mombasa baada ya kushtakiwa kwa kosa la ubakaji yapata wiki mbili zilizopita...

Read source
mwananchi.co.tz /4 weeks ago

Aliyepinga kufukuzwa kazi HESLB akwama mahakamani

Katika hoja zake, alidai kunyimwa haki ya msingi ya kusikilizwa kwa kuwa hakupatiwa ripoti ya uchunguzi iliyotumika dhidi yake, jambo lililomnyima nafasi ya kuandaa utetezi wa kina...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Jela maisha kwa kukutwa na bangi kilo 109

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Morogoro imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Rajabu Mijinga baada ya kuthibitishwa kuhusika na usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya bangi zenye uz...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mashahidi 12 kutoa ushahidi kesi ya wizi wa jenereta

Mashahidi hao wanatarajia kutoa ushahidi wao, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mkoa wa Dar es Salaam.

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mila potofu zadaiwa kuchangia kuongezeka kwa wagonjwa wa saratani

Kesi ya mauaji inayowakabili wanamgambo yapigwa kalenda S: Tukio hilo la mauaji lilitokea Machi 20, 2026 kwa watuhumiwa hao kudaiwa kumuua Rashid Nyandonga (31), fundi simu na m...

Read source
mwananchi.co.tz /1 month ago

Mali za Sh125 bilioni ziliharibiwa vurugu za Oktoba 29

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, Jaji Mkuu mstaafu Mohamed Chande Othman, amesema uchunguzi wao umebaini mali zilizoharibiwa za sekta binafsi na za umma zin...

Read source
mwananchi.co.tz /14 hours ago

Mwigulu ashtukia upigaji fedha Manyoni, awataka watendaji kuzitapika

Amesema uchunguzi umeonyesha zaidi ya Sh200 milioni zilichotwa kutoka akaunti za maendeleo na Sh250 milioni nyingine kutoka akaunti ya amana ya maendeleo, jambo ambalo limeibua mas...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Gachagua alitimuliwa kuzima upinzani ndani ya serikali, mahakama yaambiwa

WALALAMISHI wanaokosoa kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, wameambia Mahakama Kuu kuwa mchakato huo haukuwa wa kikatiba bali ulipangwa kisiasa kwa leng...

Read source
mwananchi.co.tz /1 day ago

Mtendaji Simanjiro miaka 20 jela kwa ubadhirifu wa Sh3.3 milioni

Mahakama hiyo imemtia hatiani Mollel katika kesi iliyokuwa ikiendeshwa na mwendesha mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Faustin Mushi.

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Wafanyabiashara wawili kukamatwa kwa kuwalaghai mayatima urithi wao wa thamani ya Sh150m

MAHAKAMA ya Milimani imeamuru polisi wawakamate wafanyabiashara wawili wanaoshtakiwa kwa kuwalaghai mayatima wawili jumba la kifahari lenye thamani ya Sh150milioni miaka saba iliyo...

Read source
mwananchi.co.tz /6 days ago

Sh227 milioni ya fidia Msikiti wa Rahman yadaiwa kulipwa kwa watu wasio sahihi

Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) umedai kuwa, Sh227 milioni za fidia katika Msikiti wa Rahman uliopo Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam zililipwa kwa watu wasio sah...

Read source
mwananchi.co.tz /3 weeks ago

Baraza la Madiwani Tandahimba lanusa upotevu wa Sh107 milioni

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, wamemtaka mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Mariam Mwanzalima kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu matumizi ya Sh107 milioni...

Read source
mwananchi.co.tz /1 week ago

Sintofahamu yaibuka wakili aliyekamatwa mahakamani

Soma zaidi hapa....

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Tuhuma Za Kupokea Sh1 Milioni Kumhonga Jaji

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source

mwananchi.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source

thecitizen.co.tz

Recent coverage from public sources
Public source