Weta ahatarisha adhabu ya korti kwa madai ya kuendelea kupiga siasa za uchaguzi
SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula anakabiliwa na kesi ya kudharau mahakama baada ya Shirika la Vocal Africa kumshutumu kwa kukaidi amri zinazomzuia kutumia mamlaka ya afis...