Kaunti ya Wantam? Ushindani mkali wengi wakijitokeza kuwania ugavana Taita Taveta
USHINDANI mkali wanukia katika Kaunti ya Taita Taveta huku idadi ya wanaotaka kuwania ugavana ikiongezeka. Gavana wa kaunti hiyo, Bw Andrew Mwadime, na naibu wake Bi Christine Kil...