Chama kipya cha siasa chakwaa kisiki kortini kikipigania kusajiliwa
Soma hapa...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Siasa Za Kwale.
Fresh curated links around Siasa za Kwale are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma hapa...
SIASA za ugavana katika Kaunti ya Kwale zimechukua mkondo mpya baada ya mvutano kuibuka kuhusu mpango wa kumtaka Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Ubaharia cha Bandari, Bw Lung’anzi M...
MSEMAJI wa jamii ya Wadigo, Bw Chirau Mwakwere, amewashutumu Waziri wa Madini na Uchumi wa Maji, Bw Hassan Joho na Gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir, kwa kumpigia debe Gavana wa...
ZAIDI ya wakazi 1,300 wa Kwale wamepata pigo katika mzozo wa umiliki wa ardhi baada ya Mahakama ya Rufaa kukataa kuondoa amri inayozuia Wizara ya Ardhi na Mkurugenzi wa Upangaji na...
Soma hapa...
Wananchi hao walikesha nje ya vituo vya kupigia kura na baadaye katika vituo vya kujumlishia matokeo, wakifuatilia kwa karibu kila hatua ya mchakato wa uchaguzi.
KATIKA siasa za Kenya za sasa, mapambano makali hayafanyiki tena kwenye mikutano ya hadhara, Bunge au runinga pekee. Sasa vita hivyo vimechacha kwenye makundi ya WhatsApp. Makun...
CHAMA cha Wiper Patriotic Front (WPF) kimeunda kikosi cha viongozi watatu kuongoza kampeni zake eneo la Pwani huku kinyang’anyiro cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 kikishika kasi....
WAKAZI wa vijiji vinavyopakana na misitu iliyo Mangawani, Kaunti ya Kwale, wanaishi kwa hofu ya mashambulio ya kihalifu ambayo yametanda kwa miaka kadha. Wakazi hao wameeleza ho...
LICHA ya kuongezeka kwa wito wa kuwezesha wanawake kushikilia nyadhifa za juu za uongozi, idadi ya wanaojitokeza kuwania viti vya ugavana katika eneo la Pwani kuelekea uchaguzi wa...
Soma zaidi hapa...
UFICHUZI wa aliyekuwa Waziri wa Leba, Bw Kazungu Kambi, kwamba anapanga kuzindua chama kipya cha kisiasa, umeibua mwelekeo mpya wa kisiasa katika eneo la Pwani kuelekea kwa Uchaguz...
Soma hapa....
KADRI uchaguzi mkuu unavyojongea ndivyo tabia ya kufadhaisha isiyoruhusu mtazamo na msimamo tofauti inavyozidi kujitokeza. Katika taifa linalojivunia demokrasia na utawala wa kika...
ALIYEKUWA Waziri wa Jinsia, Aisha Jumwa amejiunga rasmi na chama cha Wiper Patriotic Front, akisema yuko tayari kukabiliana na vyama vinavyounga mkono serikali jumuishi katika ucha...
RAIS William Ruto amejitokeza waziwazi kumshawishi mfanyabiashara Suleiman Shahbal kuachana na azma ya kuwania ugavana wa Mombasa, akisema bwanyenye huyo anaweza kulitumikia taifa...
SIKU ya kufa kwa nyani miti yote huteleza. Sijui kwa nini napenda sana kuwaona nyani wakiteleza mitini na kuanguka pu! Kufa kwao sijutii, nashabikia. Wakati mwingine mimi hujiuliz...
Soma zaidi...
Soma zaidi...
UCHAGUZI mdogo wa ubunge wa Ol Kalou leo ni zaidi ya mashindano ya kisiasa kati ya vyama na wagombea wa vyama vikuu nchini. Ni fursa ya kuonyesha kwamba, Kenya imejifunza kutokana...
KIONGOZI wa Wiper Patriotic Party, Kalonzo Musyoka, amemuonya Rais William Ruto kwamba mwaka wake wa mwisho mamlakani utakuwa mgumu, huku upinzani ukiahidi kuongeza ukosoaji wa ser...
BUNGE la Kenya linakabiliwa na kibarua kigumu cha kupitisha kwa haraka sheria muhimu za uchaguzi, huku mapendekezo kadhaa yakikwama kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 10, 2027. Sp...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.