Serikali yasema imepata shamba la kuzipa makao familia 21,000 zilizofurushwa Mau
SERIKALI inakaribia kutatua moja ya migogoro ya muda mrefu katika Bonde la Ufa baada ya kuthibitisha kuwa imepata mashamba makubwa katika Kaunti ya Narok ili kuzipa makazi mapya fa...