DPP awaongezea mashtaka hadi 32 maofisa wa polisi wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha
Jamhuri imefanya mabadiliko katika hati ya mashtaka kwenye kesi ya kughushi vibali/leseni za kumiliki silaha, kwa kuongeza mashtaka 16 mapya, yakiwemo ya kukutwa na mihuri ya kughu...