Latest updates for Oburu Aanza Hatamu Kama Kinara Mpya Wa Odm

Fresh curated links around Oburu aanza hatamu kama Kinara Mpya wa ODM are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.

Recent items include:

  • Mpasuko kambi ya Oburu huku Junet, Millie, Ruth na Otiende wakikosa mkutano
  • Kauli ya Oburu kwamba hatabeba yeyote mgongoni iandamane na vitendo
  • Oburu na Sifuna wawania ngome za ODM

Post angles to try

Share the most useful takeaway for your audience.
Turn one article into a quick practical checklist.
Ask your audience how this shift affects their work.
Turn angles into scheduled posts

Fresh articles and ideas

Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.

taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Mpasuko kambi ya Oburu huku Junet, Millie, Ruth na Otiende wakikosa mkutano

MKUTANO wa ODM ambao uliandaliwa Kisumu Jumapili umeanika nyufa ndani ya mrengo wa chama hicho unaoongozwa na Seneta wa Siaya Dkt Oburu Oginga na wandani wake. Baadhi ya viongozi...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Kauli ya Oburu kwamba hatabeba yeyote mgongoni iandamane na vitendo

KAULI ya Kinara wa ODM, Dkt Oburu Oginga kuwa hakuna mwanasiasa atakayening’inia koti lake katika uteuzi wa chama na kuwa kutakuwa na uteuzi huru inastahili kuandamana na vitendo....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Oburu na Sifuna wawania ngome za ODM

MAKUNDI hasimu ndani ya Orange Democratic Movement (ODM) yameongeza kasi ya shughuli zao za kisiasa mashinani katika mbio za kuwania udhibiti wa ngome za jadi za chama hicho kuelek...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Msining’inie koti langu, Oburu aambia wawaniaji wa ODM 2027

KIONGOZI wa ODM, Dkt Oburu Oginga, amewaonya wawaniaji wanaodhani watapata tikiti ya moja kwa moja akisema lazima wajitetee kwa raia kupitia utendakazi wao. Dkt Oginga amesema k...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Oburu kuongoza mkutano wa ‘Azimio la Waluo’ kutoa mwelekeo wa siasa za 2027

VIONGOZI wakuu wa chama cha ODM Jumapili wanatarajiwa kuongoza jamii ya Waluo kutangaza azimio muhimu kuhusu uchaguzi mkuu wa 2027 katika mkutano mkubwa wa kisiasa utakaofanyika Ki...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Oburu aelekeza Nyanza kwa Ruto, Linda Mwananchi ikimsifu Kalonzo

VIONGOZI wa ODM jana walitangaza kuwa wataongoza eneo la Luo Nyanza kumuunga mkono Rais William Ruto kuwahi muhula wa pili huku wakisisitiza kuwa eneo hilo lazima liwe sehemu ya se...

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

Oburu Oginga Warns ODM Rebels, “Come Back With a Coiled Tail or Don’t Come Back at All”

Orange Democratic Movement (ODM) Party Leader Oburu Oginga hit out at the rebel Linda Mwananchi faction, warning dissenting members that the party will not tolerate indiscipline. S...

Read source
nairobiwire.com /1 month ago

Oburu Oginga Says He’ll Quit as ODM Leader if His Position Divides the Luo Community

Orange Democratic Movement (ODM) party leader Oburu Oginga said he will step aside from his position if it causes divisions within the Luo community. Speaking on Sunday during an O...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ken Obura: Sihitaji ODM kushinda ugavana 2027

ALIYEKUWA Waziri Msaidizi, Ken Obura ametangaza kuwa hana shughuli na chama cha ODM na atawania wadhifa wa ugavana Kisumu kama mgombeaji huru. Haya yanajiri huku wagombea tisa w...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Dalili ODM kukosa mwaniaji urais 2027 Oburu, Wanga wakitangaza kujerea nyumbani kutetea viti vyao

HUENDA ODM ikakosa mwaniaji wa urais na mgombeaji mwenza kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi mkuu wa 2007 katika uchaguzi mkuu ujao. Hii ni baada ya kiongozi wa chama hicho, Dkt Ob...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 days ago

Oburu: Huku Luo Nyanza wimbo ni tutam

VIONGOZI wa ODM Luo Nyanza wameapa kuwa ‘watakufa’ na Rais William Ruto hadi 2027 kutokana na uimarishaji wa miundomsingi eneo hilo. Wakiongozwa na Seneta wa Siaya, Dkt Oburu Og...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Oburu akejeli Orengo kushiriki maandamano akipuuza kaunti

KIONGOZI wa ODM Dkt Oburu Odinga amemkosoa vikali Gavana wa Siaya James Orengo kwa madai ya kupuuza utoaji wa huduma kwa wananchi huku akijikita zaidi katika siasa za kitaifa na ma...

Read source
allafrica.com /1 month ago

Kenya: Oburu Warns ODM Rebels Over Party Discipline in Heated Nyanza Delegates Meeting

[Capital FM] Kisumu -- Orange Democratic Movement (ODM) party leader Oburu Oginga has warned disgruntled members linked to the Linda Mwananchi faction against undermining the party...

Read source
allafrica.com /1 month ago

Kenya: ODM Signals No Presidential Candidate in 2027 As Oburu Focuses On Coalition Politics

[Capital FM] Kisumu -- The Orange Democratic Movement (ODM) has signaled that it may not field a presidential candidate in the 2027 General Election, with party leader Oburu Oginga...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Sifuna ajipanga, atia guu moja nje ya ODM akianza kuwazia urais

SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna anatarajiwa kuongoza wimbi la viongozi kujiondoa katika chama cha ODM baada ya viongozi wa jamii ya Waluhya wanaohusishwa na mrengo wa Linda Mwananch...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /2 weeks ago

Sababu tatu kuu za Sifuna kukwama ODM

UAMUZI wa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kupinga mahakamani hatua ya ODM kumuondoa katika wadhifa wa Katibu Mkuu, unatazamwa na wachanganuzi wa siasa kama mkakati wa kumpa muda, ku...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Ubabe: Linda Mwananchi yawika Linda Ground ikififia

VUGUVUGU la Linda Mwananchi limeanza kuwika tena huku Linda Ground ikionekana kufifia, taswira inayodhihirisha mabadiliko mapya ya kisiasa yanayozidi kuchipuka kuelekea uchaguzi mk...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Maandamano: Gavana Orengo sasa avaa kiatu cha Raila

GAVANA wa Siaya, James Orengo, amejitokeza kama sura ya maasi dhidi ya serikali baada ya kifo cha Raila Odinga huku Wakenya wakiingia kwenye wiki ya kuadhimisha miaka miwili baada...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /3 weeks ago

Sifuna bado kikaangoni baada ya ODM kupewa ruhusa ya kumwadhibu

SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna anakabiliwa na maamuzi muhimu ya kisiasa baada ya Mahakama ya Kutatua Migogoro ya Vyama vya Kisiasa (PPDT) kuruhusu chama cha ODM kuendelea na mchaka...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

Barabara telezi kwa Orengo anaposaka ufalme wa Waluo

BAADHI ya wafuasi wake humuita Nyawawa (roho ya waliokufa), wengine humuita Nyatieng (jiwe linaloweza kuua) na kwa wengine yeye ni Wuod Nyamayanga (mwana wa kiume wa Nyamayanga)....

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 day ago

ODM na UDA zapoteza ngome wanasiasa wakijipanga kwa 2027

HATUA ya baadhi ya vyama kujipanga kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 imeanza kubadili mwelekeo wa vyama hivyo huku utafiti mpya ukionyesha kuwa umaarufu wa chama cha UDA na ms...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

SIASA: Mvutano viongozi wakionya ODM kuhusu tikiti ya ugavana Kisumu

BAADHI ya viongozi wa ODM kutoka Kaunti ya Kisumu wameonya chama hicho kwamba hawatakubali demokrasia ya maafikiano katika kinyang’anyiro cha ugavana mnamo 2027, wakisisitiza kuwa...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 month ago

OneTam: Sifuna aidhinishwa kuwa kigogo wa Mulembe

SENETA wa Kakameg,a Boni Khalwale amemuidhinisha Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna kama kigogo wa siasa za Jamii ya Mulembe na kusema sasa ana baraka za kuongoza jamii hiyo kuelekea...

Read source
taifaleo.nation.co.ke /1 week ago

Viongozi waanza kuhama vyama wakijipanga kwa 2027

VYAMA vikuu vya kisiasa nchini vinaendelea kukumbwa na wimbi la viongozi kuhama huku maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027 yakishika kasi. Chama tawala cha United Democratic Allianc...

Read source

Turn fresh research into a full content calendar

Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.

Sources covering Oburu Aanza Hatamu Kama Kinara Mpya Wa Odm

allafrica.com

Recent coverage from public sources
Public source

nairobiwire.com

Recent coverage from public sources
Public source

taifaleo.nation.co.ke

Recent coverage from public sources
Public source