Sifuna apambana vikali na Oburu
MVUTANO unaoendelea kati ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) na Katibu wake Mkuu Edwin Sifuna unaashiria dalili za kudumu kwa muda mrefu. Bw Sifuna, ambaye ameshtakiwa...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Odm Ya Sifuna.
Fresh curated links around ODM ya Sifuna are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
MVUTANO unaoendelea kati ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) na Katibu wake Mkuu Edwin Sifuna unaashiria dalili za kudumu kwa muda mrefu. Bw Sifuna, ambaye ameshtakiwa...
KATIBU Mkuu wa ODM Edwin Sifuna anakabiliwa na mtihani mgumu ambao utamjenga au kumponza kisiasa wiki hii akitarajiwa kufika mbele ya Kamati ya Nidhamu ya chama hicho kujibu maswal...
MGAWANYIKO katika chama cha ODM umefika kileleni, katibu mkuu wa chama hicho Seneta Edwin Sifuna anazidi kutamba na kusherehekewa hasa miongoni mwa vijana wanaosisimuliwa na mbwemb...
SENETA wa Nairobi, Edwin Sifuna amerejea katika Jopo la Kutatua Mizozo ya Kisiasa (PPDT) akiomba alindwe dhidi ya juhudi mpya za kumtimua kama Katibu Mkuu wa ODM. Kwenye ombi lake...
SENETA wa Nairobi, Edwin Sifuna, amesema bado hajaamua atagombea wadhifa gani katika Uchaguzi Mkuu wa 2027, licha ya umaarufu anaopata kupitia mrengo wake wa Linda Mwananchi ndani...
KUNDI la Linda Mwananchi ambalo linahusishwa na Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna na Gavana wa Siaya James Orengo linatathmini mikondo miwili ikiwemo seneta huyo wa Nairobi kuwania u...
The move comes amid growing tension in ODM, with the Sifuna-led Linda Mwananchi faction positioning itself as a rival to the Linda Ground faction.
SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna Jumanne aliwahakikishia wafuasi wa upinzani kuwa kutakuwa na mgombea mmoja wa urais atakayechaguliwa kupitia maoni ya wananchi ili kumkabili Rais Wil...
MJADALA unaoendelea ndani ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) wa kuhifadhiwa maeneo ya kisiasa amabyo inadai ni ngome yake, unaonyesha kimefifia na huenda kikakosa makali...
WAJUMBE wa chama cha Wiper Patrotic Front katika eneo la Pwani, wamemhimiza kinara wao Kalonzo Musyoka amteue Seneta wa Nairobi, Bw Edwin Sifuna, kuwa mgombea mwenza katika uchaguz...
VIONGOZI wa Linda Mwananchi jana waliteka jiji la Kisumu kwa kishindo huku wakidai wao ndio wana maono ya marehemu kigogo wa siasa za Luo Nyanza Raila Odinga. Gavana wa Siaya Ja...
Gavana wa Siaya James Orengo ameikosoa vikali mipango inayoendelea ya kuhifadhi ngome za kisiasa ndani ya Orange Democratic Movement (ODM), akisema ni ishara tosha kuwa chama hicho...
SURA mpya katika ulingo wa kisiasa zinaibuka kwa ujasiri kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027 na kuwa mwiba kwa vigogo wa miaka mingi. Kundi hili jipya la viongozi tayari linaonye...
Takribani miezi 15 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027, hali ya kisiasa nchini inaendelea kupamba moto, huku baadhi ya makundi yakizua msisimko na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wapinzani...
BAADHI ya viongozi wa ODM kutoka Kaunti ya Kisumu wameonya chama hicho kwamba hawatakubali demokrasia ya maafikiano katika kinyang’anyiro cha ugavana mnamo 2027, wakisisitiza kuwa...
KIONGOZI wa ODM, Dkt Oburu Oginga ametangaza kuwa mara hii chama hicho kitaandaa uteuzi wa haki na huru wala hakuna atakayependelewa kutokana na ukuruba wake na uongozi wa chama....
CHAMA cha Orange Democratic Movement kimeanzisha mikakati ya ndani ya kujitathmini kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 huku kukiwa na wasiwasi kuhusu mustakabali wake bila kiong...
Ilianza kwa mikutano ya chinichini na ishara za kisiasa za heshima, kisha ukafuata uteuzi wa wanachama wa upinzani katika Baraza la Mawaziri, na baadaye majukwaa ya pamoja ya kisia...
KATIKA kile kinachoashiria mpasuko mkubwa ndani ya Serikali Jumuishi, chama cha ODM sasa kinatishia kujiondoa katika ushirikiano huo kikidai wabunge wake wananyanyaswa na kulazimis...
The public feud between Orange Democratic Movement (ODM) leader Oburu Oginga and party Secretary General Edwin Sifuna has deepened, with Oginga explicitly rejecting any future coll...
SIASA za ngome ambazo zimekuwa zikizua utata ODM sasa zimehamia upinzani huku mirengo miwili ikilaumiana kuhusu uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Hata kabla ya Spika wa Bunge la Kitai...
WAKIUNGWA mkono na vijana wa Gen-Z wanaozidi kuwa wakakamavu kwa usemi, sura mpya za wanasiasa zinajitokeza kama wagombea muhimu katika kinyang’anyiro cha 2027. Kundi hilo jipya l...
The Political Parties Disputes Tribunal (PPDT) has cleared the way for a full hearing of a complaint filed by Nairobi Senator Edwin Sifuna. In a decisive move, the Tribunal dismiss...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.