Viongozi wa dini watia neno msimamo wa Maaskofu Katoliki
Soma hapa...
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Nidhamu Ya Utawa Kanisa Katoliki.
Fresh curated links around Nidhamu ya utawa Kanisa Katoliki are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma hapa...
Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar limeanzisha mpango wa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wa Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa kuwapatia mafunzo ya ujasiriamali...
MAHAKAMA Kuu imeamuru Dayosisi ya Eldoret ya Kanisa Katoliki kumjumuisha mwanamume anayedaiwa kuzaliwa na Padri aliyefariki katika ugavi wa mali yake, ikisema watoto wote wana haki...
Amesema matarajio na imani ya wanachama wa CCM ndiyo vitakavyowaongoza katika utekelezaji wa majukumu yao, huku wakiongozwa na hofu ya Mungu na misingi ya chama.
Zaidi ya Sh45 milioni zimekusanywa kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya biashara ya Kanisa Katoliki, Parokia ya Chunya, Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya.
MWANAUME anayeshtakiwa kwa kujifanya padri wa Kanisa Katoliki aliingia katika shughuli za Jimbo Katoliki la Lodwar, kuongoza misa pamoja na Askofu John Mbinda na baadaye kuongoza i...
Soma zaidi hapa...
JIMBO la Katoliki ya Maralal limewasimamisha kazi mapadri saba na kutangaza sheria kali zitakazodhibiti mwenendo, matumizi ya fedha na maisha ya kila siku ya makasisi. Hatua hiy...
KWA Wakenya wengi, Julai Mosi huashiria mwanzo wa mwaka mpya wa kifedha wa serikali lakini kwa waumini wa Kanisa la Legio Maria of African Church Mission, tarehe hiyo ni mojawapo y...
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Isack Amani ameonya kuwa kiburi na ukaidi kwa baadhi ya vijana nchini kinachowafanya kukataa kusikiliza na kufuata maelekezo vin...
Soma zaidi hapa...
Soma hapa...
Soma zaidi...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.