Serikali hatimaye yajipatia kitita cha Sh204 bilioni baada ya dili ya kuuza Safaricom kupita
SERIKALI ya Kenya imevuna Sh204.3 bilioni baada ya dili ya kuuza hisa zake katika Safaricom iliyokuwa inapingwa mahakamani hatimaye kukamilika. Serikali, kupitia Wizara ya Fedha...