Kauli ya Wetang’ula kwamba ajira za TSC hugawiwa wabunge Ikulu yachemsha vyama
VYAMA vya walimu vimekasirishwa na matamshi ya Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula kwamba baadhi ya wabunge hupewa barua za ajira za Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) katika Ik...