Korti yaagiza EABL kuweka kando Sh10m kabla kusikiza kesi ya zogo na mwanahabari Willis Raburu
MAHAKAMA ya Biashara iliyoko Milimani, Nairobi, imeamuru kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) iweke Sh10 milioni katika akaunti ya pamoja inayosimamiwa na mawakili wa pande...