Matapeli wa ardhi wanyima wakazi wa Mavoko usingizi
KILA siku katika eneo la Mavoko, Kaunti ya Machakos, kuna mtu anayekumbwa na hatari ya kupoteza ardhi yake; si kwa nguvu za silaha bali kwa karatasi na hila ofisini. Kughushi sai...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mzozo Wa Ardhi Mavoko.
Fresh curated links around Mzozo wa ardhi Mavoko are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
KILA siku katika eneo la Mavoko, Kaunti ya Machakos, kuna mtu anayekumbwa na hatari ya kupoteza ardhi yake; si kwa nguvu za silaha bali kwa karatasi na hila ofisini. Kughushi sai...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Evance Bisesagu (47), mfanyabiashara na mkazi wa Bupumula, Kata ya Nyamhongolo, Wilaya ya Ilemela kwa tuhuma za kuchimba mahandaki sita...
Mpaka sasa, kaya 10 zimeyakimbia makazi yake katika kijiji hicho huku moja ya nyumba za ibada ikishindwa kutumika, baada ya kutengeneza nyufa zilizosababishwa na hali hiyo.
Soma zaidi hapa...
Zaidi ya miaka 10 tangu kuanza kwa ujenzi wa Soko la Ndala kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), wananchi wa kata hiyo wameibuka na kilio kipya wakiiomba Serikali kulinusuru...
Wananchi wa Kata ya Kibirizi, eneo ambalo mradi huo unatekelezwa, wanasema licha ya kuhamishwa tangu mwaka 2015 kupisha ujenzi huo, hakuna maendeleo ya kuridhisha yaliyofanyika had...
Wakizungumza na Mwananchi, baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Pwani wamesema tukio hilo limeibua hofu kuhusu usalama wa majengo ya umma, hususan yale yanayohifadhi nyaraka nyeti za kisher...
Jamii za kifugaji zimetakiwa kuboresha usimamizi wa malisho ili kufufua afya ya nyanda za malisho na kupunguza kiwango cha hewa ukaa angani.
Baadhi ya wakazi wa wilaya za Kilosa na Mvomero, wameendelea kukumbwa na mafuriko, huku wengi wakilazimika kuishi katika kambi za muda.
Kuendelea kuwepo kwa mashimo katika barabara mbalimbali za mitaa ya Jiji la Dar es Salaam kumechangia kujaa kwa maji hata pale mvua zinaponyesha kidogo.
Baadhi ya maeneo ya mijini, hasa Dar es Salaam, ujenzi wa shule katika maeneo ya miinuko umeibua hali ya wasiwasi miongoni mwa wazazi, wanafunzi na walimu kutokana na athari zinazo...
Malalamiko ya wafanyabiashara na wananchi yameongezeka katika Mnada wa Maswa Mjini baada ya marundo ya taka kuonekana yakikaa kwa muda mrefu bila kuondolewa, hali inayodaiwa kuhata...
Ameendelea kusema kuwa wakiacha hali hiyo iendelee, wakulima wa ufuta watalazimika kupeleka mazao yao Halmashauri ya Mtama kwa kuwa halmashauri hiyo imeboresha barabara zao.
Soma hapa...
Kufuatia ukaguzi uliofanywa kwa wamiliki wa leseni wanaofanya uchimbaji kwenye mto na kuathiri mazingira, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza kusimamishwa kwa shughuli za uc...
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi ngazi ya wilaya na mkoa wakiwemo maofisa sekta ya ardhi kushughulikia migogoro ya ardhi iliyoibuliwa wakati wa mkutano...
[Daily News] Mwanza -- THE government plans to construct a modern park at the Mkuyuni Bridge area in Mkuyuni Ward, Mwanza City, as part of efforts to beautify the city and attract...
WAKAZI wa kijiji cha Chesongo, Baringo Kati, wamebaki wakishangaa baada ya daraja jipya la watembea kwa miguu kusombwa na mafuriko saa chache tu baada ya kuzinduliwa rasmi. Daraja...
Hatimaye kilio cha maji kwa wakazi wa Magomeni Kota, jijini Dar es Salaam kipo karibu kupata jawabu, baada ya Serikali kuanza kufunga mifumo ya usambazaji wa huduma hiyo kwenye nyu...
Watumiaji wa barabara ya Musoma–Busekelea katika eneo la Nyasahungu wilayani Musoma mkoani Mara wanalazimika kutumia kati ya Sh1,000 hadi 3,000 kwa ajili ya kuvushwa baada ya daraj...
Watu watatu wamenusurika kufariki dunia baada ya jengo lililopo Mji Mkongwe, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi kuporomoka wakiwa ndani.
Wananchi wa maeneo ya Msangani na Kwa Mfipa, wilayani Kibaha, mkoani Pwani wameeleza adha wanayopitia kufuatia kubomoka kwa daraja linalounganisha maeneo hayo na kukata mawasiliano...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.