Teknolojia inavyowanasua vijana janga la ajira
Soma zaidi...
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mzozo Wa Ajira.
Fresh curated links around Mzozo wa ajira are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Soma zaidi...
Licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali pamoja na wadau wa maendeleo kulinda haki za watoto, bado baadhi yao katika jamii wanaendelea kuingia kwenye ajira hatarishi.
Wakati Wizara ya Kazi na Uwekezaji ikikadiria kutumia Sh27.091 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27, imepanga kutekeleza programu 24 kupitia idara zake mbili za uwekezaji, kazi na aj...
Zaidi ya nusu ya waajiri nchini hawajajisajili katika Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha), licha ya kuwepo kwa zaidi ya maeneo ya kazi 200,000.
Katika hali ya sasa ya uchumi, watu wengi wanatamani kuwa na uhuru wa kifedha yaani uwezo wa kumudu maisha bila kutegemea mshahara mmoja. Hata hivyo, si rahisi kuacha ajira moja kw...
Serikali imeanza rasmi safari ya kujenga kongani ya viwanda vya dawa na vifaa tiba katika eneo la Mloganzila kwa kutumia mfumo wa kisasa unaofahamika kama kongani, ambao unataraji...
Kupanda kwa gharama za maisha imekuwa ikiathiri utendaji wao wa kila siku hali inayowasukuma kuiangukia, huku maadhimisho hayo yakibebwa na kaulimbiu isemayo "Kazi zenye staha ni N...
Mshahara huo mpya utaanza kutumika kuanzia Januari 2027
Katika kipindi ambacho mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanaendelea kuibadilisha sura ya familia za mijini, nafasi ya mama nayo imebadilika kwa kasi kubwa.
Makamu Mkuu wa Chuo cha Padre Pio, Dk Yasin Mussa akizungumza wakati wa semina iliyowakutanisha wamiliki wa makazi yanayojishughulisha na malezi ya watoto, wasaidizi wa kazi za nda...
Wafanyakazi mkoani Pwani wameeleza malalamiko yao juu ya kuendelea kwa changamoto walizowasilisha katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani mwaka jana, wakidai kuwa hadi sa...
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kimesema tuzo za mwajiri bora wa mwaka 2026 zitafanyika kwa mfumo mpya utakaoweka ushindani wa kisekta, kuongeza uwazi wa vigezo na kushirikisha se...
Mkazi wa Mtaa wa Igamba, Kata ya Nsalaga, Uyole, Philipo Mwakalindile (54), amejikuta akipitia vipindi vigumu vya namna ya kuendesha maisha ya kila siku baada ya kupata ulemavu wa...
Dodoma. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimetangaza kuandaa maonyesho ya ajira na biashara, maarufu ‘Career Fair’ yatakayofanyika Mei 29 hadi 30, 2026, yakilenga kuwaunganisha vij...
Majuzi hiki chama kisemekanacho kuwa ni cha kuwatetea na kuwasemea waajiriwa kuhusu matatizo yao, kimefanya jambo moja kubwa ambalo hakijawahi kulifanya kwa huyu mstaafu wetu na we...
Wakala wa Ulinzi wa JKU na Mamlaka za Serikali za Mitaa Sh405.196 bilioni kwa matumizi ya kazi za maendeleo.
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema vijana walioanza ajira karibuni na wale waliojiajiri watapewa kipaumbele katika kupewa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na Serikali jij...
Soma zaidi hapa...
Amesema utambuzi huo utafungua milango kwa wanachama kupata mikopo pamoja na programu za kuwawezesha kukuza biashara zao, hatua ambayo pia itachochea ajira kwa Watanzania wengine.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wanawake nchini kuwaeleza na kuwashirikisha wenza wao kuhusu shughuli za kiuchumi wanazozifanya ili kuepusha migogoro inayoweza kujit...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.