Dhiki ya mafuriko yatua tena Tana River maji yakitishia kusomba vijiji na mifugo ‘wakati wowote’
GAVANA wa Tana River, Bw Dhadho Godhana na Kamishna wa Kaunti hiyo Joseph Mwangi wametoa tahadhari mpya kwa wakazi wanaoishi maeneo yanayokumbwa na mafuriko kuhama na kuelekea maen...