Latest updates for Mswada Wa Naibu Kiongozi Wa Wengi Bungeni Owen Baya
Fresh curated links around Mswada wa Naibu Kiongozi wa Wengi Bungeni Owen Baya are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
- Ni wiki ya hukumu bungeni
- Mawaziri walivyojibu hoja za wabunge Bajeti Kuu
- Kauli za wabunge dhidi ya Bunge Marekani zawaibua wadau
Post angles to try
Fresh articles and ideas
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mawaziri walivyojibu hoja za wabunge Bajeti Kuu
Soma zaidi hapa...
Kauli za wabunge dhidi ya Bunge Marekani zawaibua wadau
Soma zaidi...
Wawakilishi waibana Serikali kwa ongezeko la misamaha ya kodi
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameeleza masikitiko yao kuhusu mwenendo wa Serikali wa kuendelea kutoa misamaha mingi ya kodi, wakati ikipanga bajeti kwa kutegemea mapato ya ndan...
Wabunge wang’aka kuhusu maadili, Baba Levo agusia wala nauli
Wabunge wameitaka Serikali kusimamia maadili ikiwemo utoaji elimu ya haki, kuliko ambavyo baadhi ya maeneo wanaume wameachwa nyuma huku wanawake wakionekana kupendelewa.
Ni wiki ya madaraja na malipo kwa makandarasi
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Kauli za kukemea ubaguzi zatikisa Bunge, Baraza la Wawakilishi
Mjadala wa kurushiana vijembe kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar umeibuka baina ya wabunge na wawakilishi hali ambayo imekemewa na...
Msajili atoa kauli sakata la mamilioni ya ruzuku Chadema
Soma hapa...
Sheria aliyoikosoa Ndugai kufumuliwa, Waziri Mkuu asema...
Soma hapa...
Zungu aibua mjadala mashangingi ya vigogo, atoa maagizo
Soma hapa...
Mbunge aliyependekeza bodaboda kutozwa Sh1,000 afafanua tena
Soma zaidi hapa...
Ni uoga unawasumbua au?
MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro na baadhi ya wanasiasa wa ODM wamejipata katika hali ngumu kisiasa baada ya kushutumiwa kama viongozi vuguvugu ambao hawaegemei mrengo wa serikali ama...
Mawakili walivyochuana kesi ya ubunge wa Baba Levo
Soma hapa...
Bajeti Kuu ya Zanzibar ya Sh8 trilioni yapita
Bajeti ya Serikali iliyopitishwa leo Juni 18, 2026 na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ni Sh8 trilioni huku deni la Taifa likifikia Sh3 trilioni.
Mswada waundwa kubana maafisa wanaovujisha siri za serikali
MSWADA wapendekeza marufuku ya WhatsApp na barua pepe binafsi kwa shughuli za serikali Maafisa wa umma huenda wakapigwa marufuku kutumia barua pepe binafsi au mitandao ya kijamii...
Waziri Mkuu aliyetenguliwa Senegal achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa spika wake.
Wawakilishi waibana Serikali pensheni kwa wazee
“Kamati inaishauri Serikali kuondoa urasimu na ubaguzi katika utekelezaji wa suala hili kuhakikisha wazee wote waliofikia umri wanapata haki yao ya msingi,”
Wawili kushikilia ofisi za CWT wakisubiri hatima ya viongozi wao
Soma zaidi...
Barabara telezi kwa Orengo anaposaka ufalme wa Waluo
BAADHI ya wafuasi wake humuita Nyawawa (roho ya waliokufa), wengine humuita Nyatieng (jiwe linaloweza kuua) na kwa wengine yeye ni Wuod Nyamayanga (mwana wa kiume wa Nyamayanga)....
Watumishi saba Geita kizimbani kwa madai ya ubadhirifu
Ruge amebainisha kuwa makosa hayo ni kinyume na kifungu cha 28 (1) cha Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11 ya 2017.
NIKWAMBIE MAMA: Mwanasiasa ndiye kiongozi
Soma zaidi hapa...
Turn fresh research into a full content calendar
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.