Benki ya Dunia yasisitiza matumizi sahihi fedha mradi wa Pamoja
Mradi wa Pamoja unafadhiliwa na WB kwa kipindi cha miaka mitano (2024/29) na utagharimu Sh33 bilioni.
Search fresh public links, source activity, and post angles for Mswada Wa Fedha Wa 2026.
Fresh curated links around Mswada wa Fedha wa 2026 are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Mradi wa Pamoja unafadhiliwa na WB kwa kipindi cha miaka mitano (2024/29) na utagharimu Sh33 bilioni.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika bajeti ya 2026/27, wakati ilipoomba bajeti ya Sh359.32 bilioni.
Katika mwaka wa fedha 2026/27, Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) umepanga kujenga barabara kuu zenye urefu wa kilomita 260.5 kwa kiwango cha lami, Bunge limeelezwa.
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiwa imetoa Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2026/27, wadau wa sekta binafsi wameonesha ubora na upungufu wa rasimu hiyo.
Wakati Bunge likitarajia kuhitimisha mjadala wa hotuba ya bajeti ya Wizara Maliasili na Utalii leo Jumatatu, Mei 17, 2026, wizara tatu zitawasilisha mapendekezo ya kuomba bajeti za...
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya mara sita ya Sh130 bilioni zilizotengwa miaka mitano iliyopita.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya...
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja mojawapo ya changamoto zilizokwamisha bajeti ya 2025/26 isiweze kutekelezwa ni kuwepo kwa baadhi ya nchi katika Ju...
Jumla ya Sh775 bilioni zimeombwa na Wizara ya Katiba katika mwaka wa fedha 2026/27, huku vipaumbele 14 vitakavyotekelezwa kwa wakati huo, ikiwemo kufungua kesi tano za uvunjwaji wa...
Zaidi ya wawekezaji na wafanyabiashara 500 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kukutana Zanzibar kushiriki Tamasha la Kimataifa la Uwekezaji Zanzibar 2026 litakalofanyika kuan...
Amesema waongoza watalii ni wadau muhimu katika kukuza sekta hiyo, wakichangia ongezeko la idadi ya watalii na mapato ya nchi.
Pwani. Bagamoyo Mwenge wa Uhuru 2026 leo Jumamosi Aprili 18, 2026 umekabidhiwa rasmi kutoka Mkoa wa Dar es Salaam kwenda Mkoa wa Pwani katika hafla iliyofanyika Bagamoyo, huku vion...
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA), kwa mwaka wa fedha 2026/27, inahitaji Sh1.1 trilioni katika kutekeleza mpango wa maendeleo wa sekta ya elimu, huku ikija na vip...
WAZIRI wa Fedha, John Mbadi ameghairia nia kuhusu ahadi ya kupunguza ushuru wa mshahara kwa wafanyakazi walioajiriwa wanaolipwa chini ya Sh50,000. Kwenye Mswada wa Fedha wa 2026,...
Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma katika mwaka wa fedha 2026/27, kama sehemu ya mkakati mpana wa k...
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Sh135.676 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/27, huku ikiainisha mikakati ya kudhibiti mfumko wa bei na kui...
Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kimesema tuzo za mwajiri bora wa mwaka 2026 zitafanyika kwa mfumo mpya utakaoweka ushindani wa kisekta, kuongeza uwazi wa vigezo na kushirikisha se...
Wakati Tanzania ikiazimia kukuza uchumi wake kutoka Dola 90 bilioni za Marekani (Sh234,000 trilioni) za sasa hadi kufikia Dola 1 trilioni miaka mitano ijayo, wataalamu wa uchumi wa...
Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2026 wakati akitembelea mradi wa Mji wa Afcon (Afcon City) unaojengwa Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi.
The PAMOJA project, funded by the WB for a five-year period from 2024 to 2029, is valued at Sh33 billion.
Mshahara huo mpya utaanza kutumika kuanzia Januari 2027
The draft estimates revenue and expenditure for the 2026/27 financial year at Sh8.217 trillion, marking an increase of Sh1.2 trillion from the Sh6.9 trillion budget for 2025/26. Of...
Wakati Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (OMKR) ikianisha vipaumbele vitano vya kutekeleza mwaka 2026/27 na kuomba kuidhinishiwa Sh35.558 bilioni, ufinyu na upatikanaji wa fedha us...
The Tanzania Investment Summit 2026 will be held in Arusha from 3 to 5 June, covering tourism, transport, renewable energy, water, blue economy, and agro-processing. The three-day...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.