Waibana Serikali kuhusu sheria ya habari, Waziri aeleza kilichoikwamisha
Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameihoji Serikali kuhusu kuchelewa mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari, wakisema suala hilo limekuwa likizungumzwa kwa m...