Vifo vya Ebola vyafikia 131, maambukizi yakishika kasi
Shirika la Afya Duniani (WHO) tayari limetangaza mlipuko huo wa Ebola unaosababishwa na kirusi cha aina ya Bundibugyo kuwa ni dharura ya afya ya umma ya kimataifa.
Search fresh public links, source activity, and ready-to-use post angles for Msambao Wa Maradhi Ya Ebola.
Fresh curated links around Msambao wa maradhi ya Ebola are collected here so marketers can spot useful updates and turn timely ideas into posts faster.
Recent items include:
Recent curated links from global sources. Generate one free draft from any story, then use SocialBu to schedule and refine your content calendar.
Shirika la Afya Duniani (WHO) tayari limetangaza mlipuko huo wa Ebola unaosababishwa na kirusi cha aina ya Bundibugyo kuwa ni dharura ya afya ya umma ya kimataifa.
Kwa mujibu wa WHO, hadi Mei 16, jumla ya wagonjwa wanane waliothibitishwa maabara na wagonjwa 246 wanaoshukiwa kuwa na Ebola walikuwa wameripotiwa katika Mkoa wa Ituri, mashariki m...
HUKU Kenya ikitoa tahadhari kuhusu mlipuko wa Ebola unaoendelea nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), maafisa wa afya wameanza kuimarisha maandalizi katika mipak...
Wakati huohuo, Uganda imethibitisha wagonjwa wawili wa Ebola mjini Kampala jana Mei 17, 2026 mmoja wao akiwa amefariki dunia.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya huenda ikachukua kati ya miezi sita hadi tisa kabla ya chanjo dhidi ya aina ya Ebola ya Bundibugyo kuwa tayari kutumika, huku idadi ya vifo n...
MLIPUKO wa Ebola eneo la Afrika ya Kati huenda ukaenea kuwa sawia na kiwango cha mlipuko mbaya zaidi kuwahi kuzuka kihistoria, mlipuko uliotokea Magharibi mwa bara hili mnamo 2014-...
Serikali ya Tanzania imetoa maagizo na hatua 10 za dharura za kuimarisha ulinzi dhidi ya ugonjwa wa Ebola kufuatia mlipuko ulioripotiwa katika nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasi...
Hatua hiyo inajiri huku kukiwa na wahisiwa 64 wa ugonjwa wa Ebola nchini kutoka mikoa 21, ambapo kati yao wahisiwa 11 walikidhi vigezo na kulazimika kuchukuliwa sampuli zao kabla y...
SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) imeanzisha karantini ya lazima ya siku 21 kwa watu wanaotoka katika maeneo yaliyoathiriwa na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, ha...
SERIKALI ya Kenya imeimarisha hatua za dharura za kukabiliana na Ebola huku ikiweka timu za wataalamu wa afya katika hali ya tahadhari saa 24 kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo katika...
SERIKALI ya Kenya inaendelea na mipango ya kuanzisha kituo cha kutenga na kutibu Ebola kwa ushirikiano na serikali ya Amerika, huku ikipuuza amri ya korti katika mfano halisi wa uk...
WATAALAMU wa magonjwa ya kuambukiza kutoka Amerika wamewasili nchini Kenya na tayari wanaendelea na maandalizi ya kituo maalum cha Ebola ambacho Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ame...
As Tanzania remains free of Ebola cases, Africa has mobilized nearly Sh2.39 trillion in pledges to combat the rapidly expanding Bundibugyo Ebola outbreak, which has killed 204 peop...
SERIKALI imekuwa ikitetea ujenzi wa kituo cha kutenga wagonjwa wa Ebola katika Kambi ya Jeshi Laikipia, Nanyuki, kwa wiki kadhaa, lakini sasa imekumbwa na maswali mapya kuhusu vitu...
SERIKALI ya Rais William Ruto inaendelea kuwekewa presha baada ya Mahakama Kuu kuamuru Wizara ya Afya kufichua maelezo kamili ya mpango unaohusisha kuanzishwa kwa kituo cha karanti...
BEIJING, China CHINA itatuma kundi la wataalamu wa kimatibabu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kupiga jeki juhudi za kudhibiti mlipuko wa Ebola, msemaji wa Wizara ya...
Serikali ya Ujerumani imetoa msaada wa Euro 8 milioni (takribani Sh24.2 bilioni) kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kukabiliana na magonjwa ya Ebola...
Public Health Principal Secretary Mary Muthoni said Kenya had not recorded any confirmed case of Ebola virus disease as of Saturday, May 31. She reported that officials collected 1...
POLISI jana walirusha vitoa machozi na kuwakamata waandamanaji kadhaa waliokuwa wakipinga ujenzi wa kituo cha kutenga wagonjwa wa Ebola kinachofadhiliwa na Amerika katika Kambi ya...
Kenya has raised its Ebola preparedness status after Uganda confirmed two cases of Ebola Virus Disease (EVD), including one fatality, both involving travelers from the Democratic R...
WADAU wa utalii wanahofia sekta hiyo itaathirika vibaya endapo kituo kinachopendekezwa cha karantini ya wagonjwa wa Ebola kitajengwa nchini. Ujenzi wa kituo hicho unatekelezwa ene...
MAHAKAMA Kuu imesitisha kwa muda mpango wa serikali wa kuanzisha au kuwezesha kituo chochote cha kutenga au kutibu Ebola chini ya makubaliano ya Kenya na Amerika, saa chache baada...
SERIKALI ya Amerika inapanga kuwaleta Kenya raia wake wanaoambukizwa na virusi vya Ebola, hatua ambayo imeibua maswali makubwa kuhusu uwazi, usalama wa afya ya umma na misingi ya k...
Use SocialBu to discover ideas, generate post drafts, and schedule them across your social channels.